Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Siku nyingine jaribu kuangalia na uhalisia wa bei, products za bosse zipo juu sana
Ni kweli nilipokuja kujua bei halisi ya bosse oG from USA ni around 1m ndipo nilichoka saii nataka nihame beats by Dre nazielewa Sana ila mkasi kinoma.
 
Sure kununua headphones na earphones za mill 1 inaweza kuwa kawaida ila napata ukakasi kuona hichi kitu Tanzania.
Then nabaki kujiuliza hawa watu wanaolia tozo, hasa tozo za miamala na vifurushi wanatokea wapi?

Speaker imetengenezwa kwa magnet, plastic diaphragm na voice coil, sidhani kama kuna new technology in speakers I highly doubt that.
Besides marketing strategy, ushabiki, brand popularity na status hasa kwa watu wakubwa, millionaires, billionaires na music proffesionals, sioni cha maana speaker ya mill 1 inaoffer kuzidi speaker ya 100k labda noise Cancellation ila kuna aslimia 90% quality ni ileile kwa watu wanaojua sound wave differentials.
Na most important ni psychologically watu wanaamini kitu kikiwa na bei kubwa basi quality inakuwa kubwa, ni scientifically proven.

We truly live in a society, kuna mtu atakuja kusema "tafuta hela wewe!".
Anyway I'm just saying!
Umeongea point Sana mkuu nakubaliana na wewe nakupa mfano nna headphone hapa inaitwa moxom w-22 nimenunua k/koo 45k sound quality yake no balaa charge non-stop ikiwa ina play ni 24hrs standby 33hrs lakini ukileta iyo sijui beats by Dre JBL inaweza kidogo kufua dafu.
 
Sure kununua headphones na earphones za mill 1 inaweza kuwa kawaida ila napata ukakasi kuona hichi kitu Tanzania.
Then nabaki kujiuliza hawa watu wanaolia tozo, hasa tozo za miamala na vifurushi wanatokea wapi?

Speaker imetengenezwa kwa magnet, plastic diaphragm na voice coil, sidhani kama kuna new technology in speakers I highly doubt that.
Besides marketing strategy, ushabiki, brand popularity na status hasa kwa watu wakubwa, millionaires, billionaires na music proffesionals, sioni cha maana speaker ya mill 1 inaoffer kuzidi speaker ya 100k labda noise Cancellation ila kuna aslimia 90% quality ni ileile kwa watu wanaojua sound wave differentials.
Na most important ni psychologically watu wanaamini kitu kikiwa na bei kubwa basi quality inakuwa kubwa, ni scientifically proven.

We truly live in a society, kuna mtu atakuja kusema "tafuta hela wewe!".
Anyway I'm just saying!
Mkuu
Speaker technology zipo nyingi na kuna tofauti kubwa sana ya sauti kati ya speaker na speaker , kama wewe ni mnazi wa music utajua kuwa baaxhi ya speaker huwa hazipigi kabisa baadhi ya sauti,
Ujanja sio kununua headphone ghali, kuna cheap products ambazo ni nzuri pia ,
 
Tafuta joyroom jr-3s pro. Ni 1:1 copy ya apple earpods pro. zinafanana sound quality, mziki mnene. Au ninazotumia sahivi, zinaitwa soundpeats H1, hazina noise cancelation wala transparent mode, lakini sound quality ni top. Zina hybrid dual drivers.
 
Mkuu
Speaker technology zipo nyingi na kuna tofauti kubwa sana ya sauti kati ya speaker na speaker , kama wewe ni mnazi wa music utajua kuwa baaxhi ya speaker huwa hazipigi kabisa baadhi ya sauti,
Ujanja sio kununua headphone ghali, kuna cheap products ambazo ni nzuri pia ,
Sahihi Speaker za elfu 5000 hakuna kitu na ndio maana nimetumia mfano wa speaker za kuanzia 100K.
 
Sure kununua headphones na earphones za mill 1 inaweza kuwa kawaida ila napata ukakasi kuona hichi kitu Tanzania.
Then nabaki kujiuliza hawa watu wanaolia tozo, hasa tozo za miamala na vifurushi wanatokea wapi?

Speaker imetengenezwa kwa magnet, plastic diaphragm na voice coil, sidhani kama kuna new technology in speakers I highly doubt that.
Besides marketing strategy, ushabiki, brand popularity na status hasa kwa watu wakubwa, millionaires, billionaires na music proffesionals, sioni cha maana speaker ya mill 1 inaoffer kuzidi speaker ya 100k labda noise Cancellation ila kuna aslimia 90% quality ni ileile kwa watu wanaojua sound wave differentials.
Na most important ni psychologically watu wanaamini kitu kikiwa na bei kubwa basi quality inakuwa kubwa, ni scientifically proven.

We truly live in a society, kuna mtu atakuja kusema "tafuta hela wewe!".
Anyway I'm just saying!

sasa mkuu ukisema namna hii nasisi wa zile (M) za elfu 5 tutakuwa na hoja yenye nguvu kabisa juu ya earphones za 100k.

hizo earphone za 1mln zinakupa feature nyingi ambazo huwezi zipata kwa usahihi huku chini.

water resistan,dust resistance,durability,sound quality,nk.

ukiangalia bidhaa za bei kubwa,kama earphone za 1mln unagundua waliozitengeneza wamekusudia uzitumie hata miaka 20,ni imara mno.
 
Sure kununua headphones na earphones za mill 1 inaweza kuwa kawaida ila napata ukakasi kuona hichi kitu Tanzania.
Then nabaki kujiuliza hawa watu wanaolia tozo, hasa tozo za miamala na vifurushi wanatokea wapi?

Speaker imetengenezwa kwa magnet, plastic diaphragm na voice coil, sidhani kama kuna new technology in speakers I highly doubt that.
Besides marketing strategy, ushabiki, brand popularity na status hasa kwa watu wakubwa, millionaires, billionaires na music proffesionals, sioni cha maana speaker ya mill 1 inaoffer kuzidi speaker ya 100k labda noise Cancellation ila kuna aslimia 90% quality ni ileile kwa watu wanaojua sound wave differentials.
Na most important ni psychologically watu wanaamini kitu kikiwa na bei kubwa basi quality inakuwa kubwa, ni scientifically proven.

We truly live in a society, kuna mtu atakuja kusema "tafuta hela wewe!".
Anyway 'm just saying!

1st: Quality ya Sound kati ya Speaker na Speaker SIO SAWA na HAIFANANI. Mfano: unataka kusema Kwamba Speaker ya Seapiano mchina inaweza kuwa sawa na spika ya Bose???

2nd: Twende kwenye point ya earphones, Apart from Noice Cancelling, nakupa factors zingine:

  • Sound Quality
  • True Stereo Separation
  • Build Quality
  • Touch controls
  • Smart voice controls(Alexa, Google home etc)
  • Superb Battery Life
  • In app customization
  • Water/Dust resistant

Nakadhalika.....

Swali langu kwako:
Hivi vitu unavipata kwenye earphones/earbuds za Laki Moja?
 
Sure kununua headphones na earphones za mill 1 inaweza kuwa kawaida ila napata ukakasi kuona hichi kitu Tanzania.
Then nabaki kujiuliza hawa watu wanaolia tozo, hasa tozo za miamala na vifurushi wanatokea wapi?

Speaker imetengenezwa kwa magnet, plastic diaphragm na voice coil, sidhani kama kuna new technology in speakers I highly doubt that.
Besides marketing strategy, ushabiki, brand popularity na status hasa kwa watu wakubwa, millionaires, billionaires na music proffesionals, sioni cha maana speaker ya mill 1 inaoffer kuzidi speaker ya 100k labda noise Cancellation ila kuna aslimia 90% quality ni ileile kwa watu wanaojua sound wave differentials.
Na most important ni psychologically watu wanaamini kitu kikiwa na bei kubwa basi quality inakuwa kubwa, ni scientifically proven.

We truly live in a society, kuna mtu atakuja kusema "tafuta hela wewe!".
Anyway I'm just saying!
Kuna headphone ukisikiliza nusu saa tu masikio yanauma yaani unachoka,na kuna zingine hata ukisikiliza kwa muda mrefu bado masikio hayachoki,pili headphone inaweza kusababisha uziwi kama ukitumia kwa muda mrefu hasa kama haina viwango vizuri,

Kwahio ni kweli kuna bei zilizopitiliza,mfano kuna mdau hapo juu anasema zipo headphone za milioni 30,sasa unaona kabisa hapo ni promo na usupastaa tu,nadhani ndio ile unakuta labda nyaya zake za dhahabu au material Fulani ya ghali Ila ubora unaweza ukawa sawa tu na hio ya 1M.

Cha msingi angalia ubora tu na uwezo wa kudumu mda mrefu.
 
Tafuta joyroom jr-3s pro. Ni 1:1 copy ya apple earpods pro. zinafanana sound quality, mziki mnene. Au ninazotumia sahivi, zinaitwa soundpeats H1, hazina noise cancelation wala transparent mode, lakini sound quality ni top. Zina hybrid dual drivers.
Asante,Hebu tuwekee picha,zinapatika kwa bei gani?
 
1st: Quality ya Sound kati ya Speaker na Speaker SIO SAWA na HAIFANANI. Mfano: unataka kusema Kwamba Speaker ya Seapiano mchina inaweza kuwa sawa na spika ya Bose???

2nd: Twende kwenye point ya earphones, Apart from Noice Cancelling, nakupa factors zingine:

  • Sound Quality
  • True Stereo Separation
  • Build Quality
  • Touch controls
  • Smart voice controls(Alexa, Google home etc)
  • Superb Battery Life
  • In app customization
  • Water/Dust resistant

Nakadhalika.....

Swali langu kwako:
Hivi vitu unavipata kwenye earphones/earbuds za Laki Moja?
Hivi kuna uwezekano ukisikiliza wimbo Fulani baadhi ya sauti/vyombo usivisikie kabisa kutokana na spika unayotumia?lakini ukibadilisha spika ukavisikia?
 
Hivi kuna uwezekano ukisikiliza wimbo Fulani baadhi ya sauti/vyombo usivisikie kabisa kutokana na spika unayotumia?lakini ukibadilisha spika ukavisikia?
Ni kweli. Kuna sauti unaweza usizisikie kutokana na spika unayotumia.

Kwa uelewa wangu, Sound reproduction ya Speakers inatofautiana sana.

Mfano rahisi tu, Spika ya Mchina ya laki 1 haiwezi kuproduce sauti EXACTLY kama speaker ya "a named manufacturer" anayeeleweka inayocost 2 or 3 million.

Mimi binafsi natumia HiFI Speakers flani hivi expesive kidogo.
Kuna sauti nazisikia sasa hivi ambazo sikuwahi kuzisikia kabisa huko nyuma nilipokuwa natumia Speakers nyingine za kawaida.
 
Ni kweli. Kuna sauti unaweza usizisikie kutokana na spika unayotumia.

Kwa uelewa wangu, Sound reproduction ya Speakers inatofautiana sana.

Mfano rahisi tu, Spika ya Mchina ya laki 1 haiwezi kuproduce sauti EXACTLY kama speaker ya "a named manufacturer" anayeeleweka inayocost 2 or 3 million.

Mimi binafsi natumia HiFI Speakers flani hivi expesive kidogo.
Kuna sauti nazisikia sasa hivi ambazo sikuwahi kuzisikia kabisa huko nyuma nilipokuwa natumia Speakers nyingine za kawaida.
Asante,ndio maana wenzetu huko Ulaya hawataki kabisa mambo ya quality za chini,maana unakosa vitu vingi
 
Hivi kuna uwezekano ukisikiliza wimbo Fulani baadhi ya sauti/vyombo usivisikie kabisa kutokana na spika unayotumia?lakini ukibadilisha spika ukavisikia?
Uwezekano huo upo kabisa, frequency responce zinatofautiana sana ,
Kuna speaker zinarespond vizuri kwa kila frequency . Lakini pia inategemea na amplifier ya simu au walkman husika simu za lg samsung au baadhi ya zte zina amp nzuri.
 
Ni kweli. Kuna sauti unaweza usizisikie kutokana na spika unayotumia.

Kwa uelewa wangu, Sound reproduction ya Speakers inatofautiana sana.

Mfano rahisi tu, Spika ya Mchina ya laki 1 haiwezi kuproduce sauti EXACTLY kama speaker ya "a named manufacturer" anayeeleweka inayocost 2 or 3 million.

Mimi binafsi natumia HiFI Speakers flani hivi expesive kidogo.
Kuna sauti nazisikia sasa hivi ambazo sikuwahi kuzisikia kabisa huko nyuma nilipokuwa natumia Speakers nyingine za kawaida.
Baadh ya Wabongo bado kabisa kujua vyombo vya miziki ndo maana Mimi Niko tayari nikanunua home theater used kuliko kununua sabufa mpya dukani mziki quality Una utamu wake bana.
 
Baadh ya Wabongo bado kabisa kujua vyombo vya miziki ndo maana Mimi Niko tayari nikanunua home theater used kuliko kununua sabufa mpya dukani mziki quality Una utamu wake bana.
Subwoofer wabongo tunanunua kwa sababu ya umasikini wetu tu, ni vile tu hatuna hela.
Lakini tunapokuja kwenye ulimwengu wa Sound Systems, Subwoofer za mchina ni matakataka tu.
 
Mimi nimeangalia reviews nyingi sana za earbuds/headphones.

Kwa earbuds, Rankings zipo hivi.
1. Sony WF-XM1000
2. Bose Quitecomfort
3. Senheizer momentum 3
4. Airpods Pro

Bei sio za kinyonge though, Sony WF-XM1000 (ninayotumia) inapatikana kuanzia 750,000 na kuendelea.
hpo kwa sony unapata kodtec subwoofer 2[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom