Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bose og huwezi kupata kwa 75kBosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620
Yaani bose headphone iuzwe elfu 75 na wewe ukaiamini.Bosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620
Kuna jamaa yangu alipewa zawadi akaniuziaga hakuwa mtu wa hivi vidude.. ni kitambo kidogo sijui nilimpa 50k vile na zilikuwa mpya hadi nimezichakaza.. sina kumbukumbu vizuri pesa niliyompa exactly View attachment 2364058View attachment 2364060View attachment 2364059Ulizifuma wapi na kwa bei gani?
Ungedownload application yake kwenye simu ukaipair, kama feki ingegoma kuitambua..Bosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620
Kuna jamaa nawaonaga instagram wanajiita "techovers" naona kama vitu vyao ni vyenyeweBosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620
Ina noise cancelling ina bass ambayo haimizi pia kiufupi ina saut ilio balansiwa sio ya kuumiza na unaweza ivaaa maskini siku nzima Bila maskio kuuma wala kuwaka Moto.Vipi mziki wake ukoje?
Wakishakuwa under licence hawashtakiwi mkuuDa!aisee pole,hivi huwa hawashtakiwi na kampuni yenye hatimiliki?
1m adi 900k ukinunua apple 1m ila saivi zimeshukaBei gani hizo?
Nililigundua Hilo baada ya kununua nikajua baadae nikipokuja kuitafuta Bosse oG mtandaon na ku-compare og Vs fakeMkuu bose og huwezi kupata kwa 75k
Mzee nilikuwa mgeni na bosse ndo naanza kuijua alafu siunajua vijana wa makumbusho wanavojua kubrand vitu IG ukikuta wamekipiga picha kitu kama hujazama ndichi kufanya comparison ya OG Vs FAKE lazima upuyangeYaani bose headphone iuzwe elfu 75 na wewe ukaiamini.
Hizo headphone Genuine ni almost kama 1 million hivi(au pungufu kidogo), wewe ukawa unataka uidake kwa elfu 75?
Baada ya kujua ni famba nilikaaa nayo wiki Tu dogo mmoja akajilengesha nikamuuzia 50k nilibaki na kibegi chake Tu hichi apa[emoji116][emoji16]Yaani bose headphone iuzwe elfu 75 na wewe ukaiamini.
Hizo headphone Genuine ni almost kama 1 million hivi(au pungufu kidogo), wewe ukawa unataka uidake kwa elfu 75?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooNimeangalia earphone zangu za 5k nikazificha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa level zetu sisi tusio nacho ni Oraimo tu. Bei ni 6k ila ni imara na zinagonga balaa
[emoji16]Nimeangalia earphone zangu za 5k nikazificha.
Siku nyingine jaribu kuangalia na uhalisia wa bei, products za bosse zipo juu sanaBosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620