Dah timu yenu inatia hurumwSawa,endelea kujitekenya
Leo tunafungwa lakini 3 hazifiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah timu yenu inatia hurumwSawa,endelea kujitekenya
Leo tunafungwa lakini 3 hazifiki
Mkuu Wanawake siku hizi ndiyo wawindaji wakuu, umewekewa mtego na kweli ukanasa!!Wakuu ndugu zangu
Ni kwa yale maneno ambayo mwanaume anachomekea kama masikhara, mfano ktk kazi.
Unafanya kazi ya boda mwanamke kashuka kwene chombo, unafanya kama umeshika kiti pale alipo kaa alaf wajisemea akiwa anakusikia aisee nusu kiti kiunguwe inalekea nanii ako ni so hot, akicheka cheka wajuba wanakula
Vile vi maneno vya masihara na kujizima data wanawake hunasa kizembe sana, Mfano mi nilishawah msifia tu manzi mmoja. portable anatakro lain mnoo aisee Alipita karib nilipokuwa nimeka nikajizima data nikamwambia nijuavyo, nilimla ban alipokosea kunipa namba
Mwingine kavaa nguo imechora kitumbua chote nikakizoom mpaka akaona aibu nikamsifia kwa maneno mazito adi saiv ananiita bae kosa ni kunipa namba na nishamla
Awa viumbe hawapo sirias kama tunavo waona
Wwe mitego yako najua unakoitegea,na aina ya mitego yako pia siyo ya kutunisha kitumbua!!!Bado naendelea kuprove kwamba mie sio wa kike
Siwezi kuliwa kwa hayo uliyoandika hapo
Tena present yenyewe iwe something u can both unwrap🤣🤣🤣🤣Alafu ukimpa zawadi kabla ya kuchujua nguoo n kyupi...huwa wanafurahii na kufika juu ya mlima Kilimanjaro mapemaa ATA 3 times before men
Mitego yangu unajua nakoitegea,ni wapi?Wwe mitego yako najua unakoitegea,na aina ya mitego yako pia siyo ya kutunisha kitumbua!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ebu fanya kuziainishs hizo alpha- male traits hapo tuanze kizifanyiw kazi mkuu.Kuwin moyo wa mwanamke its so simple, i wonder how many people hustle, ukiwa na hizi alpha male behaviour, i tell you Watakuganda utakuwa unawakimbia.
Bado nastajabia WANAWAKE yaan kwenye research nimengundua usiombe upendwe na mwanamke....overBado naendelea kuprove kwamba mie sio wa kike
Siwezi kuliwa kwa hayo uliyoandika hapo
Ila uke unao ! Unakojoa umechuchumaa au ukiwa umesimama kama twiga? Una blid?Bado naendelea kuprove kwamba mie sio wa kike
Siwezi kuliwa kwa hayo uliyoandika hapo
Tabu sana wajemeniPima inchi sita toka kwenye kitovu kwenda chini, funua tayari ajira kwenye pochi manyoya.
Sema wee manzi unajikutaga spesho Sana ..Ila lazima Kuna muuni mwenzetu uko atakuwa anapiga tu fresh Yani..😀😀😀Sawa,endelea kujitekenya
Leo tunafungwa lakini 3 hazifiki
Yupo muhuni anajipigia kila akitakaSema wee manzi unajikutaga spesho Sana ..Ila lazima Kuna muuni mwenzetu uko atakuwa anapiga tu fresh Yani..😀😀😀
Tunasema uke ulikurukia kwa bahati mbaya.Bado naendelea kuprove kwamba mie sio wa kike
Siwezi kuliwa kwa hayo uliyoandika hapo
Kafa RIPRafiki yako Zero IQ yuko wapi?
Hahaha unaweza kusema mleta mada katunga alichoandikaKuna aina fulani ya mtongozo ukiambiwa, inakupa picha ya aina ya mwanaume na mwanaume waliokutanisha vikojoleo...
Imagine mwanamke anaachia goli kisa kasifiwa mahali alipokaa kwenye siti ya boda pamepatikana na joto soon baada ya kunyanyuka kwa siti...just imagine hiyo type ya mwanamke
Hahaha unaweza kusema mleta mada katunga alichoandika
Hivi inawezekanaje usifie joto la mtu aliponyanyuka halafu huyo mtu akakutunuku?