Ni hivi wanawake wanaliwa kimasihara kwa sababu hii

Ni hivi wanawake wanaliwa kimasihara kwa sababu hii

Ndivyo ilivyo hata wakwako ni hivyo hivyo
 
Bado naendelea kuprove kwamba mie sio wa kike

Siwezi kuliwa kwa hayo uliyoandika hapo
Ww kuliwe ni lazima mtu ajipange kama kuomba kazi vile!!.??
kunakuwa na interview za kutosha na probation period ama inakuwaje tukupate
 
Kuna aina fulani ya mtongozo ukiambiwa, inakupa picha ya aina ya mwanaume na mwanaume waliokutanisha vikojoleo...

Imagine mwanamke anaachia goli kisa kasifiwa mahali alipokaa kwenye siti ya boda pamepatikana na joto soon baada ya kunyanyuka kwa siti...just imagine hiyo type ya mwanamke
Huyu ni chizi kabisa
 
Back
Top Bottom