proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.
Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.
Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa
Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.
Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa
Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?