Ni hofu ipi kuu inayokusumbua? Hata uwe jasiri kiasi gani lazima kuna vitu vinavyokutia hofu na unatumia njia gani kuishinda?

Ni hofu ipi kuu inayokusumbua? Hata uwe jasiri kiasi gani lazima kuna vitu vinavyokutia hofu na unatumia njia gani kuishinda?

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.

Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.

Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa

Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
 
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.

Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.

Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa

Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
Mashuka ni kifo, na hofu ni dhambi
 
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.

Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.

Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa

Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
Mke wangu hua ananiogofya sana..najitoa ufahamu kwa kujilipua tu na Kvant kubwa mix maji baridii...
 
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.

Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.

Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa

Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
Bahari ikichafuka Huwa naomba pooooo.....hakuliki Wala hakulaliki
 
Siogopi kitu chochote,

I'm not afraid of anything that might happen to me on this earth,coz i know no matter what,nothing can take my spirit from me.

Love the life u live
Live the life u love.
 
Mke wangu kufa kabla yangu, ninamwombea sana ili kama ni kufa nitangulie mimi!
 
Tunazaliwa katika ulimwengu usiokuwa na hofu lakini ulimwengu wenyewe hututia hofu.

Tunakutana na vitu mbalimbali vinavyotutia hofu katika ulimwengu huu. Japo tunakuwa na ujasiri fulani lazima kuwe na vitu vya kuogopa.

Inawezekana ulivyokuwa mdogo ulikua huogopi baadhi ya vitu lakini kadri siku zinavyoenda unaogopa. Kuna watu wanaogopa:-
-Kupanda ndege
-Umri ukisogea
-Kusimama na kuongea mbele ya watu wengi
-Kuona maiti
-Kufa
-Kuwa maskini
-Mitihani
-Ajali ya majini, ardhini, angani n.k
-Majanga ya asili k.v mafuriko, tetemeko la adrhi, dhoruba n.k
-Kuvamiwa na watu
-Wadudu, wanyama
-Kufa
-Kuachika
-Kuishi mwenyewe
-Vita
-Bosi kazini
-kufanya mapenzi
-Magonjwa
-Kuoa au kuolewa
-Kuchelewa kuoa au kuolewa
-Kutopata mtoto
-Kuchekwa
-Kuachika au kuachwa

Yapo mambo mengi yanaweza kukutia hofu. Unatumia njia gani kutatua hofu inayokusumbua?
niliogopa sana mitihani masomoni na niliogopa sana kushindwa uchaguzi kwenye uchaguzi,

lakini nilifanya maamuzi magumu ya kuukana uoga na unyonge na nilivaa ujasiri na hatimae kufaulu mitihani na kushinda uchaguzi.

Uthubutu na maamuzi magumu ni njia ya kuondokana na woga.

Kumbuka,
uoga wako ndiyo umaskini wako gentleman 🐒
 
Sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana. Yaani hata uwe jasiri vipi lakini lazima tu kuna a point of your weakness ambayo ukiwa kwenye mazingira hayo unakuwa huna ujanja kabisa
 
Naogopa wallet yangu kukosa Hela

Naogopa kudhalilika katika hali yeyote au namna yeyote

Naogopa STI's & STD's
 
Back
Top Bottom