Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

Congo anabeba ndogo.
Congo wazuri ila siwapi nafasi hiyo, watakutana kama congo atapita.
FB_IMG_17066786521500169.jpg
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Umeongea upuuzi
 
Nyie hata Argentina alivyoshinda mlisema ni hujuma za FIFA.

Messi alivyo chukua Ballon d'Or mkasema ni hujuma za FIFA kijana wa FIFA anapendelewa.

Timu zote hizo kubwa kutolewa AFCON, Je wakubwa wa hizo timu hawapo kwenye kamati ya CAF?

Kocha wa Tanzania alidai Morroco inabebwa na CAF, Haya kiko wapi?

Morocco knocked out pamoja na kubebwa.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Unaowatetea sasa walivyowabaguzi nenda uone comments zao full kupost masokwe sio kwa wacongo sio kwa wasouth,,,hawa walishasema wao sio waAfrica,,hawakutakiwa hata kushiriki Afcon!
Tuletee hizo post tuzione hapa.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Morocco walishasema kuwa wao siyo Wa African kwa hiyo watuachie ligi yetu! Waende wakacheze ASIA CUP huko QATAR bado inaendelea na Warabu wenzao.
Watuachie AFRICA CUP yetu.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Motsepe achunguzwe..[emoji41]
 
Bwege kweli wewe. So watu wake hawajui dhambi? Na hao watu wake kaanza kuwafahamu lini? Usilelete upuuzi wako hapa allah. Uandike kwa akili dogo. Nyie ndo mnaharibu taswira ya nchi hizi.
Unanjua Alah unansikia??? Kaamua warabu wenzake wafe
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Tunajivunia kuwa waarabu, hatushiriki tena hayo mashindano ya AFCON. Waafrica tuna laana.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Cape Verde ni nchi ya kiarabu?
 
Morocco walishasema kuwa wao siyo Wa African kwa hiyo watuachie ligi yetu! Waende wakacheze ASIA CUP huko QATAR bado inaendelea na Warabu wenzao.
Watuachie AFRICA CUP yetu.
Kusema wa Morocco siyo waafrica ni sahihi kabisa. Siyo kila anayezaliwa na kuishi Africa ni mwaafrika. Sema nchi yao iko bara la Africa. Hata wale wa Jamaica na Haiti siyo wazungu ni waafrica walio nje ya Africa.
 
Kusema wa Morocco siyo waafrica ni sahihi kabisa. Siyo kila anayezaliwa na kuishi Africa ni mwaafrika. Sema nchi yao iko bara la Africa. Hata wale wa Jamaica na Haiti siyo wazungu ni waafrica walio nje ya Africa.
Mwingine kichwa panzi huyu hapa, Morocco ni African country kwa sababu nchi yao ipo bara la Africa.
 
Back
Top Bottom