Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Mpira ni mchezo wa wazi timu nyingi kwa sasa zina wachezaji madaraja ya juu. Waarabu hata kwenye CAF CL tunaona kuna utofauti na miaka iliyopita.
Bingwa Mali
Congo anabeba ndoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira ni mchezo wa wazi timu nyingi kwa sasa zina wachezaji madaraja ya juu. Waarabu hata kwenye CAF CL tunaona kuna utofauti na miaka iliyopita.
Bingwa Mali
Congo wazuri ila siwapi nafasi hiyo, watakutana kama congo atapita.Congo anabeba ndogo.
Congo wazuri ila siwapi nafasi hiyo, watakutana kama congo atapita.
View attachment 2889373
Umeongea upuuziInaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Angola inabebaCongo anabeba ndogo.
Tuletee hizo post tuzione hapa.Unaowatetea sasa walivyowabaguzi nenda uone comments zao full kupost masokwe sio kwa wacongo sio kwa wasouth,,,hawa walishasema wao sio waAfrica,,hawakutakiwa hata kushiriki Afcon!
Morocco walishasema kuwa wao siyo Wa African kwa hiyo watuachie ligi yetu! Waende wakacheze ASIA CUP huko QATAR bado inaendelea na Warabu wenzao.Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Motsepe achunguzwe..[emoji41]Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Unanjua Alah unansikia??? Kaamua warabu wenzake wafeBwege kweli wewe. So watu wake hawajui dhambi? Na hao watu wake kaanza kuwafahamu lini? Usilelete upuuzi wako hapa allah. Uandike kwa akili dogo. Nyie ndo mnaharibu taswira ya nchi hizi.
Wanacheza vizuri ila hawana bahati na hawazitumii vizuri nafasi wanazozitengeneza.Congo ndo timu pekee inayocheza mpira kwa utulivu. Wengine ni tokana na siku hiyo wameamkaje.
Tunajivunia kuwa waarabu, hatushiriki tena hayo mashindano ya AFCON. Waafrica tuna laana.Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Cape Verde ni nchi ya kiarabu?Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Kusema wa Morocco siyo waafrica ni sahihi kabisa. Siyo kila anayezaliwa na kuishi Africa ni mwaafrika. Sema nchi yao iko bara la Africa. Hata wale wa Jamaica na Haiti siyo wazungu ni waafrica walio nje ya Africa.Morocco walishasema kuwa wao siyo Wa African kwa hiyo watuachie ligi yetu! Waende wakacheze ASIA CUP huko QATAR bado inaendelea na Warabu wenzao.
Watuachie AFRICA CUP yetu.
Mwingine kichwa panzi huyu hapa, Morocco ni African country kwa sababu nchi yao ipo bara la Africa.Kusema wa Morocco siyo waafrica ni sahihi kabisa. Siyo kila anayezaliwa na kuishi Africa ni mwaafrika. Sema nchi yao iko bara la Africa. Hata wale wa Jamaica na Haiti siyo wazungu ni waafrica walio nje ya Africa.