Ni imani gani potofu uliiamini kwa muda mrefu halafu ukaja kujua si kweli?

Ni imani gani potofu uliiamini kwa muda mrefu halafu ukaja kujua si kweli?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Dhana potofu ni imani zinazojengeka kwenye jamii ambazo si za kweli. Dhana hizi hurithishwa kwa vizazi na watoto hufahamishwa tangu wakiwa na umri mdogo.

Mfano wa dhana potofu ni ugonjwa wa mabusha "Hydrocele" kusababishwa na unywaji wa maji ya madafu.

Je, imani ipi potofu unaijua kwenye jamii yako na inaweza kumalizwa kwa namna gani?

1676885503728.jpeg
 
Ngoja nizikumbuke,ila ile ya imani ya et ccm imetulea na tukukuza ndio huwa inaniacha hoi.
 
Utotoni niliamini kweli atarudi ila kadri ninavyokua kimwili na kiakili nikajua TUMEPIGWA
 
Wakati wa kula ukidindosha chakula/tonge ujue wazee wako waliofariki wana njaa. Umewasaidia kuwalisha
 
Back
Top Bottom