darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Kawaida tu mkuu, baadhi yao zinaonyesha muvi na cartoons. Ila ingependeza na sisi televisions zetu (TZ Mux) zingehamia kwenye hii satellite kwani inapatikana kirahisi ukilinganisha na 46° eastHivi Mkuu hizi chanali za kisomali zina maajabu ili na mimi niziset?