Ni ipi channel yako bora kwenye king'amuzi cha DStv, Azam, Startimes, Zuku na Continental?

Hivi Mkuu hizi chanali za kisomali zina maajabu ili na mimi niziset?
Kawaida tu mkuu, baadhi yao zinaonyesha muvi na cartoons. Ila ingependeza na sisi televisions zetu (TZ Mux) zingehamia kwenye hii satellite kwani inapatikana kirahisi ukilinganisha na 46° east
 
Nipo naangalia FTA, NSS-12
Hornsat's sport 4
Mkuu unatumia box ipi, kindly assist. Nilikuwa natumia alpha box X6 Ila ilinizingua, then fundi wangu bahati mbaya sana amefariki. I have no one I know anayeweza kunipa assist coz kuset 8' dish kwa mafundi wa DStv na Azam TV mtakesha.
 
Mkuu unatumia box ipi, kindly assist. Nilikuwa natumia alpha box X6 Ila ilinizingua, then fundi wangu bahati mbaya sana amefariki. I have no one I know anayeweza kunipa assist coz kuset 8' dish kwa mafundi wa DStv na Azam TV mtakesha.
Natumia Smart android TV ambaye Ina dekoda ndani ( inbuilt decorder)
 
Waanze kuweka na "porn" sasa, kama hawatabadilika watatupoteza wateja wengine. Tumevumilia sana aisee.
 
Super Sport 223
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…