Ni ipi hospitali nzuri ya serikali ya kutahiri mtoto wa kiume kwa Dar es Salaam?

Ni ipi hospitali nzuri ya serikali ya kutahiri mtoto wa kiume kwa Dar es Salaam?

Habari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.

Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.

Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Tafuta hela
 
Japo wanangu kuna daktari mmoja ni mstaafu ndie aliwatahiri yupo mbezi juu kituo cha kwa sanya hapo kuna bodaboda wengi waambie kwa baba jesca ukifika hapo uliza yeyote kuna mzee kazi yake ni hiyo baada ya kustaafu onana nae huyu anakuja mpaka kwako anawatahiri huku unaona na atatoa huduma mpaka wapone kabisa
Bei zake ni ndogo na huduma yupo vizuri

Sehemu ya pili ni lugalo wapo vizuri pia kwa huduma zao hata huyo mzee ni mstaafu wa hapo hapo jeshini Lugalo ikiwa unataka akuhudumie na wanao nyumbani mtafute ni chaguo lako
 
Habari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.

Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.

Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Nitafute Nikuelekeze Vizuri na Bei itakuwa Chini ya Hapo Ni kama 50 au 60 kwa wote wawili na Unapelekwa hospitali ya Serkali
 
Habari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.

Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.

Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Ungekuwa unaweza ungekuja moshi kuna mzee mmoja maarafu sana amenitahiri mimi na vijana wote wa hapa mtaani,hakuna kijana yeyote aliyehiriwa na huyo mzee akawa shoga wote marijali njoo nitakupeleka
 
Huo mchongo naweza kuufanya kwa bei rahisi tu nilijifunzia youtube
 
Back
Top Bottom