Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Mkono wa swetaGovinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkono wa swetaGovinda
Unamharibu mkuu, unamjengea hofu na kutojiamini awapo na wenzie.Nategemea kutahili wangu atakapomaliza Drs la SITA,akiwa na 12 yrs
13 mzeya wakianza kudinda sii nyuzi zitafumuka 🤣🤣🤣🤣🤣Hao bado wadogo, subiri wafike 13yrs
Njoo huku ni 20k mmojaHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo hna watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Una sweta..😀😀Nitahiri mtoto wa nini wakati mimi bado nina.......au basi
Gharama ya kawaida hiyoHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Una sweta..
Sawa, atahudumu kwenye ujumbe kwa miaka mi3, tumuone mwenendo wake.Awe kwanza mjumbe.
Inabidi tuanze kuwa na party za wana jf tunaoishi kigamboni😂😂
Ndio.. bei ni hiyo hiyo....mtoto anafanyiwa vizuri bila manundu manunduHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Ndiyo ndiyo.Sawa, atahudumu kwenye ujumbe kwa miaka mi3, tumuone mwenendo wake.
Wazo zuri, itabidi iwe hivyo.
Limeisha hilo ndugu katibuNdiyo ndiyo.
Pale ni cash hawapokei BIMA???Tafutaa elaa nendaa pale Saifee hospital hautajutiaa..