Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Ha ha...Nilisoma shule ya Bweni Singida, form 1 na Five kutoka Usukumani wanakuja na magovi tunawachekaa, wakienda kwao likizo wakirudi shule wamekata.
Huyu si ashaanza kucheza na wasichana, unataka wamcheke? LolHao bado wadogo, subiri wafike 13yrs
Ndo useme had LGBT? ila watu lolMpeleke kijichi hosp Kuna Dr mzuri sana yupo kama LGBT ,ukishindwa nenda zakhem hosp kote ni 20,000
Waswahili Wanasema sio vizuri kufanya mapema sana,Miaka 13? Mbona mbali sana Mkuu, mm nilitahiriwa nikiwa na Miaka mitano.
Nadhani mtoto akitahiriwa akiwa Bado mdogo anapona mapema kidonda sababu anakuwa Bado hajakomaa sana.
Kwani ushoga unatokana na kutahiriwa na fulanii?Ungekuwa unaweza ungekuja moshi kuna mzee mmoja maarafu sana amenitahiri mimi na vijana wote wa hapa mtaani,hakuna kijana yeyote aliyehiriwa na huyo mzee akawa shoga wote marijali njoo nitakupeleka
Wapereke Taarime. Kutahiri bure Kabisa mura ni ujasiri wako muraHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Uponaji wa Pete ni haraka na mtoto anakuwa anavaa nguo kama kawaida.Kuna tofauti gani kati ya kuvalishwa pete na kushonwa?
Asante sana . Yupo kama gbt yani now shoga ama?
mchawi we we?Mimi natahiri nyumbani bure kabisa lakini nitaomba tu kubaki na govi, nina kazi nazo sana
Hapana, Fundimchawi we we?
Maneno ya mashoga haya. Wewe ni gay?Tafuta hela
Hauna hela wewe hospital za serikali zote zinafanana mwambie mumeo aache kuokota mikopo mwambie atafute hela nyambiziManeno ya mashoga haya. Wewe ni gay?
Hauna hela wewe hospital za serikali zote zinafanana mwambie mumeo aache kuokota mikopo mwambie atafute hela nyambizi
Hauna hela wewe hospital za serikali zote zinafanana mwambie mumeo aache kuokota mikopo mwambie atafute hela nyambizi
SanaUnachamba kuzidi wanawake
GovindaNitahiri mtoto wa nini wakati mimi bado nina.......au basi
Subiri akuekue hadi 15 then mpeleke UkuryaniHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika