Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #321
Vizuri, ukitaka kunywa lubisi uniambie 😀 😀😂😂😂Nipo nachukua notes hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri, ukitaka kunywa lubisi uniambie 😀 😀😂😂😂Nipo nachukua notes hapa
Ila wakizivaa huwa zinaonekana hadharani, au wewe hujawahi kuona?Sio vtu vya hadharani hvyo
Subiri nikuunganishie love 😘 Wala usijali 😍nipambanie basi mume wako 😅😅😅
Ahahahha ngoja nikachungulie nakuja🤣🤣🤣🤣We mtoto!Hiyo style ndio Ile ilipostiwa kwenye Millard Ayo inayovunja uume.
😅😅😅 nauza chachandu a.k.a shanga😂😂😂Mshenz sana wew
upwiruuu unaniuaaaSubiri nikuunganishie love 😘 Wala usijali 😍
Sh ngapi tuje kununua baada ya mafunzo hapa😅😅😅 nauza chachandu a.k.a shanga
tungecheza hata mchezo wa kombolela kukumbushia utoto 😅😅😅Hata tusingekusemesha
😅😅😅 njoo upime kwanza bei hatuwezi shindanaaaSh ngapi tuje kununua baada ya mafunzo hapa
Hiyo style ndio inaitwa DP world 😂😂😂😂Ahahahha ngoja nikachungulie nakuja
😀😀😀Yamekuwa hayo😅😅😅 njoo upime kwanza bei hatuwezi shindanaaa
Ngoja nianze kujifunzq hii Pole poleHiyo style ndio inaitwa DP world 😂😂😂😂View attachment 2682171
Unaniuliza Mimi tena wakati mimi ndio nimekwambia?labda muulize kaka Yako mzabzabJoannah Equation x nimeiona iyo style ndio hii au?
Unataka kupata ulemavu?🤣Ngoja nianze kujifunzq hii Pole pole
Ngoja aje anipe maelezo vzrUnaniuliza Mimi tena wakati mimi ndio nimekwambia?labda muulize kaka Yako mzabzab
Hiyo staili huwa tamu sana, kwa usalama zaidi, jitahidi pale kwenye up/down isichomokeJoannah Equation x nimeiona iyo style ndio hii au?