Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #41
Hiko cheo cha governor wa Bank kina limitations za umri?
Maana sio ajira rasmi ya umma. Ni uteuzi
Unajielewa ww ama umekurupuka!!??Huyu alitimiza hiki kifungu?
(b) has not less than fifteen years experience in the fields of economics,
banking, accountancy or finance or law;
Anaelewa sana, anabisha tuUnajielewa ww ama umekurupuka!!??
Luoga alikuwa mwalimu wa TAX udsm kwa zaidi ya miaka 27.
This field touches the economy na sheria
Ni kweli akikiuka sheria anaweza kuondolewa na bunge ! Lakini wakati huo huo Rais anaweza kulivunja bunge wakati wowote na ukaitishwa uchaguzi mwingine. !! Sasa hapo ni nani mwenye Nguvu ??!Rais asipofanya jambo kwa mujibu wa katiba au Sheria matokeo yake anajiweka kwenye hatari ya kuondolewa madarakani na Bunge.
Ni most serious offence kwa Rais. Kukiuka Katiba au Sheria
Kwa suala la CAG kwa sababu Katiba ndo sheria kuu ilipaswa magufuli afuate Katiba
Kwa suala la Luoga katiba haisemi kitu ila Sheria ya Benki Kuu inasema lazima gavana ateuliwa kwa kipindi cha pili cha miaka 5 hivyo ni lazima sheria ifuatwe
Qualified to participate or be chosen !Je ni kweli shall be eligible tafsiri yake ni kuwa ni lazima?
Weka hicho kifungu cha Sheria kinachosema Gavana wa BoT lazima aserve two terms?Anapoapishwa Rais, nafasi ya kwanza kuteuliwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.
Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.
Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.
Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.
Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
We Zitto hili la Luoga umeliona.Anapoapishwa Rais, nafasi ya kwanza kuteuliwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.
Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.
Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.
Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.
Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
Soma section 8 ya Bank of Tanzania Act of 2006Weka hicho kifungu cha Sheria kinachosema Gavana wa BoT lazima aserve two terms?
Kwa Mama vifungu vya sheria mmevijua ila Magufuri alipokuwa anakiuka sheria mlitulia tuli mpaka akapora na uchaguzi kinyume na sheria,ccm hawa ni wale wale.Soma section 8 ya Bank of Tanzania Act of 2006View attachment 2473834
Kwa hili la kushindwa kushauri vizuri hadi Jaji Mkuu anaongezewa muda kinyume na katiba kwa kweli hayupo timamu!Yupo timamu
Kuna nafasi hutakiwi kuwa chawa. Kama unampenda kweli Rais lazima umlinde na tuhuma mbalimbali ikiwemo za namna hii!Tz rais ndio kila kitu hapo ndio chanzo cha matatizo yote.Msiwalaumu hao wanaojiita machawa wa mama hata ukiteuliwa wewe leo automatically utageuka kuwa chawa
What a shame! Thread inaongelea hali ya hatari kwa afya ya wananchi kwa ujumla wao, wewe unachomekea swala la kibinafsi la mtu moja, ndugu yako kukosa ulaji.Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006.
Kuuzwa kwa bandari za Tanganyika swala lenye athari kwa maslahi ya mamilioni ya Watanganyika, uko bega kwa bega na Rais wako kipenzi! Adui wa taifa hili ni CCM.Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Tatizo hunijui! Nadhani umeanza kunifuatilia juzi!What a shame! Thread inaongelea hali ya hatari kwa afya ya wananchi kwa ujumla wao, wewe unachomekea swala la kibinafsi la mtu moja, ndugu yako kukosa ulaji.
Kuuzwa kwa bandari za Tanganyika swala lenye athari kwa maslahi ya mamilioni ya Watanganyika, uko bega kwa bega na Rais wako kipenzi! Adui wa taifa hili ni CCM.
Kuguswa tu ndugu yako kipenzi, unalalama sheria kuvunjwa, kweli una akili wewe! CCM kwa kweli imejaa wabinafsi, walafi na wezi. Adui namba wani wa taifa hili ni CCM.