Ni ipi nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sasa?

Ni ipi nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sasa?

Sheria haijatamka kigezo cha umri kwa gavana ila wameweka vigezo vya kitaaluma na uzoefu kazini
Hiko cheo cha governor wa Bank kina limitations za umri?
Maana sio ajira rasmi ya umma. Ni uteuzi
 
Huyu alitimiza hiki kifungu?

(b) has not less than fifteen years experience in the fields of economics,
banking, accountancy or finance or law;
Unajielewa ww ama umekurupuka!!??
Luoga alikuwa mwalimu wa TAX udsm kwa zaidi ya miaka 27.
This field touches the economy na sheria
 
Rais asipofanya jambo kwa mujibu wa katiba au Sheria matokeo yake anajiweka kwenye hatari ya kuondolewa madarakani na Bunge.

Ni most serious offence kwa Rais. Kukiuka Katiba au Sheria

Kwa suala la CAG kwa sababu Katiba ndo sheria kuu ilipaswa magufuli afuate Katiba

Kwa suala la Luoga katiba haisemi kitu ila Sheria ya Benki Kuu inasema lazima gavana ateuliwa kwa kipindi cha pili cha miaka 5 hivyo ni lazima sheria ifuatwe
Ni kweli akikiuka sheria anaweza kuondolewa na bunge ! Lakini wakati huo huo Rais anaweza kulivunja bunge wakati wowote na ukaitishwa uchaguzi mwingine. !! Sasa hapo ni nani mwenye Nguvu ??!
 
Anapoapishwa Rais, nafasi ya kwanza kuteuliwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.

Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.

Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.

Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria

Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.

Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
Weka hicho kifungu cha Sheria kinachosema Gavana wa BoT lazima aserve two terms?
 
Anapoapishwa Rais, nafasi ya kwanza kuteuliwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.

Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.

Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.

Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria

Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.

Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
We Zitto hili la Luoga umeliona.
 
Weka hicho kifungu cha Sheria kinachosema Gavana wa BoT lazima aserve two terms?
Soma section 8 ya Bank of Tanzania Act of 2006
Screenshot_20230108-123556_Adobe Acrobat.jpg
 
Suala la Kuongezewa muda kwa Jaji Mkuu kunazua maswali mengi zaidi juu ya nafasi ya Mwanasheria Mkuu kama Legal adviser mkuu wa Serikali
 
Tz rais ndio kila kitu hapo ndio chanzo cha matatizo yote.Msiwalaumu hao wanaojiita machawa wa mama hata ukiteuliwa wewe leo automatically utageuka kuwa chawa
 
Tz rais ndio kila kitu hapo ndio chanzo cha matatizo yote.Msiwalaumu hao wanaojiita machawa wa mama hata ukiteuliwa wewe leo automatically utageuka kuwa chawa
Kuna nafasi hutakiwi kuwa chawa. Kama unampenda kweli Rais lazima umlinde na tuhuma mbalimbali ikiwemo za namna hii!
 
Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006.
What a shame! Thread inaongelea hali ya hatari kwa afya ya wananchi kwa ujumla wao, wewe unachomekea swala la kibinafsi la mtu moja, ndugu yako kukosa ulaji.
Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Kuuzwa kwa bandari za Tanganyika swala lenye athari kwa maslahi ya mamilioni ya Watanganyika, uko bega kwa bega na Rais wako kipenzi! Adui wa taifa hili ni CCM.

Kuguswa tu ndugu yako kipenzi, unalalama sheria kuvunjwa, kweli una akili wewe! CCM kwa kweli imejaa wabinafsi, walafi na wezi. Adui namba wani wa taifa hili ni CCM.
 
What a shame! Thread inaongelea hali ya hatari kwa afya ya wananchi kwa ujumla wao, wewe unachomekea swala la kibinafsi la mtu moja, ndugu yako kukosa ulaji.

Kuuzwa kwa bandari za Tanganyika swala lenye athari kwa maslahi ya mamilioni ya Watanganyika, uko bega kwa bega na Rais wako kipenzi! Adui wa taifa hili ni CCM.

Kuguswa tu ndugu yako kipenzi, unalalama sheria kuvunjwa, kweli una akili wewe! CCM kwa kweli imejaa wabinafsi, walafi na wezi. Adui namba wani wa taifa hili ni CCM.
Tatizo hunijui! Nadhani umeanza kunifuatilia juzi!

Kwenye ukweli nimekuwa nasema ukweli daima.
Natetea mkataba wa Tanzania na Dubai kwa kuwa kiukweli sijaona hoja zenye mashiko kisheria kusema hauko sawa!

Nimekuwa natetea Katiba na matakwa ya Katiba humu tangu kipindi cha JK, akaja Magufuli na sasa kipindi cha Samia.

Nilipinga alivyoondolewa Prof Assad, Nikapinga alivyoondolewa Prof Luoga na sasa nimepinga kuongezewa muda wa kutumikia kama Jaji Mkuu kwa Prof Juma kwa sababu vyote ni kinyume na Sheria na Katiba
 
Back
Top Bottom