Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Nakubali mkuu. Ni kama mjini tapeli anapoingia kwenye mawindo. Anasoma terget yake kwanza, inaingilika? Au sisi wanaume tunavyomtongoza mwanamke. Tunapima kwanza uwezekano wa kukubaliwa.

Ndio hivyo.
Huyo demu akirusha kete Zake Moja Moja kujaribu kutingisha kibiriti ameona hakijajaa, ñàona sasa kaamua kumwaga Kabisa njiti zote
 
Kwa uhalisia Wapare hawajalelewa vizuri.
Mi nanaye huwa namcheki tu
Nadhani mazingira yao ni mama kuwa na sauti, nilikuja fuatilia kwao hata bodaboda na watu wa mtaani wanaita kwa "mama fulani" na mtu akitaka kitu anamtafuta mama wakati baba yupo kila siku analala hiyo nyumba. Hata wafanyakazi wako likely kumsikiliza mama na mzee haoni shida anakubali. Mzee mwenyewe ukitaka kitu anakuelekeza kwa mke wake. Wao hawana shida ila sisi tusiowazoea ndio changamoto
 
Hata Mama Mkwe anaweza kuuliza maswali ya kishamba
 
Man down hesabu maumivu 😁😁
 
Aisee! Mangi unamshauri jamaa aakafire mke wake? Ajabu sana
 
Mchango mzuri sana kiongozi, ila tafadhali rekebisha hapo mwisho chini... Sio atafute mtu wa kumpa faraja, bali atafute kitu cha kumpa faraja, amani na raha. Usimshauri mwenzako kutoka nje ya ndoa yake ingawaje hana sababu ya msingi wala hajaligundua na kulithibitisha hilo kwa mwenza wake. Otherwise anatafuta mabalaa, mamikosi, magonjwa na malaana.

Ahsante!
 
Aah nina girlfriend Mpare huyo anatoa amri kama Brigadier. Nilikuwa sizingatii kabila mpaka rafiki yangu aliponiambia ni Mpare, kaja ofisini kwangu siku ya kwanza tu anafokea kila mtu
HAHAHA! ule msemo wa mtoto wa boss na yeye boss umeusahau mkuu?!

Huyo ni mke wa boss, kwa maana kwamba na yeye ni boss... Kwani kuna shida komredi?! 😂
 
Mambo mengine ni bahati mzee... Ukiwa huna we ni wa mikosi na ku-loose kila kukicha. Dunia ina mambo!
Hakuna kitu inaitwa bahati duniani, hata bahati nasibu watu wanashinda kwa sababu walichukua hatua ya kununua tiketi!

Sasa wewe labda katika maisha yako unavutiwa na wanawake wabishi wabishi, wajeuri jeuri, na baadye unakuja kuchukizwa na hizo tabia. Haiwezekani wote wawe wanaficha makucha yao hadi muoane. Mwanamke mjeuri utamgundua tu, au watu wengine watakuambia pale moto usiguse!
 
Unamchekea sana, au unapenda mambo ya democracy sana ndio maana anajifanya kulimudu, na amegundua unapenda sana ndo maana anakutishia ooh kama umenichoka niambie kuondoke, siku alikutamkia tena mwambie ee ondoka, uone kama ataondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…