Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Unaongea kutokana na ubishi, ujuaji na mihemko vimekujaa!

Haya umeshinda! We ndo unajua zaidi na wewe ndo upo sahihi na wewe ndo umeshida 🙌👍
 
Ongea kwa vitenso na sio maneno mkuu. Acha kumlalamikia kabisa kila anachofanya we mtazame na una respond kana kwamba hujui nini kafanya.
 
Ukicheka na kima utavuna ushuzi
 

Nashukuru sana hakika nitazidi kukaza kamba sana na kuzingatia haya yote, kuliko nimlegezee hakika bora ndoa isambaratike
 
Shukrani nitazingatia mkuu
 
Leta namba ya simu
 
Ahsante.. ndio maana nikasema si LAZIMA awe Mpenzi..

Inaweza ikawa washkaji zake.. Mama ake, Baba, Dada etc..

Faraja inakuja kwa njia nyingi, mfano mimi Faraja yangu ni kuona watu wangu wa karibu wakifurahia Maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…