KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Halafu baada ya kufanya hivyo, 2025 anapatikana Magufuli asiyekuwa na 'ushetani' kama ule wa mtangulizi wake.U.A.E , Oman na wote wa dini ile , huu ni muda wao wa kula nchi, kuanzia kuuziwa Loliondo, Ngorongoro, kupewa ubia wa Bandari bila kuchangia chochote, kupewa ujenzi wa bandari kwa masharti ya mlevi tu ambaye anaweza kuyakubali N.K N.K
bi sultaniNimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Kwa hiyo, watu asili wa Oman ni waarabu wenyewe. Hawa weusi waliletwa baadae huko; na walipofika huko, ndio wakawa watawala!Hapana Oman ni Taifa kongwe, source ya watu weusi wa oman ni Ukanda wa pwani ya Afrika mashariki Kuanzia Ethiopia hadi huku kwetu. Kumbuka kuna Kipindi makao makuu ya Oman yalikuwa ni Zanzibar kabla ya kugawanyika kuwa mataifa mawili tofauti.
Huko tanganyika waingereza wameleta manowari!!?...au kwa kuwa Oman ni waarabu na waislamu!?
Siku hizi umekuwa mpoooole. Kumbe Magufuli aliwafanya wengi muonekane relevantInawezekana anaanda mazingira ya hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa , upinzani ukichukua nchi.
Znz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko
Nimepapenda hapo penye "--- familia zenye mchanganyiko wa damu," jambo ambalo limenikumbusha habari ya Rais Karume wa kwanza na kuoa mwarabu, enzi hizo.
Hivi mkuu 'Maria Nyedetse', (samahani, kidogo nilitaka kukosea kuweka g, badala ya d kwenye jina lako), uliwahi kuona au kusikia ni waafrika (weusi) wangapi huko Zenji waliobahatika kuoa wanawake wa kiarabu? Unayo mifano ututajie?
Hawa watoto wenye "mchanganyo wa damu" unaowazungumzia hapa, baba zao ni weusi, au mama zao pekee ndio weusi?
Aisee!
Mapinduzi ya Znz ya 1964, yalipindua nini?
Abeid Amani Karume alikuwa mwarabu? Halafu kawapindua waarabu wenzake?Amani Karume raisi mstaafu, baba ake alikua Muarabu?
Mbona wa-Znz yanayapenda na kuenzi hayo mapinduzi?Mapinduzi au mavamizi ya Nyerere Na Na Okello wake?
USA Kuna wamarekani weusi na shida wanazozipitia, vipi kuhusu waarabu weusi Oman wapo? Akili za kuambiwa changanya na za kwako...
Waarabu ni makatili hasa wala siwatetei lakini penye ukweli hatuwezi kupindisha.... Oman haina ubavu wa kututawala ABADANI ....
Abeid Amani Karume alikuwa mwarabu? Halafu kawapindua waarabu wenzake?
Labda kiimani...Unataka sababu gani zaidi ya sababu ya kihistoria? Kwani SSH si ana asili ya Kiarabu,unaona ni Msukuma yule kama wewe?
Unajifanya hukua na agenda ya dini moyoni!!!Usiingize mambo ya dini!! Hilo ndiyo kimbilio lenu mnapoishiwa hoja!! Uislam wako unaingiaje hapo?
Mkuu sijui wapi unashindwa kuelewa.Kwa hiyo, watu asili wa Oman ni waarabu wenyewe. Hawa weusi waliletwa baadae huko; na walipofika huko, ndio wakawa watawala!
Hadithi yako bado ina upungufu mkubwa.
Labda vibaraka Na wavamiziMbona wa-Znz yanayapenda na kuenzi hayo mapinduzi?
Kwani kuna tatizo lolote tukiwa karibu na Waingereza na Wajerumani? Mimi naona ni jambo la kawaida kabisa kuwa na mahusiano mazuri na nchi zilizotutawala kuliko zingine. Hata wananchi wengi wenye asili ya Zanzibar wako Oman, hivyo ni jambo la heri tu kuliko kutia wasiwasi.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Zanzibar, haijawahi kuwa koloni la Oman au koloni la yeyote, bali mwaka 1732, Sultan Sayyed Said wa Oman, aliihamishia the Sultanet yake kutoka Oman na kuihamishia Zanzibar.Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.