Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakomboa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!Kwanza ungejifunza historia ya Zanzibar kabla ya kutuletea hisia zako koko zilizoujaza moyo wako na zilizo kinyume na UHALISIA wa unayotaka kutufafanulia hapa.....
Ni kama upo nje ya mada kabisa, umejiwekea ya kwako unayoyafikiria kichwani ambayo mleta mada hakuyaweka kwenye andiko lake.Kwako wewe mzanzibari ni mtanzania nusu asiyestahili kuwa RAIS wa taifa hili....
Sijui ujinga +upumbavu huo ni elimu uliyofundishwa?....🙏
Nimepapenda hapo penye "--- familia zenye mchanganyiko wa damu," jambo ambalo limenikumbusha habari ya Rais Karume wa kwanza na kuoa mwarabu, enzi hizo.Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida?...
Nyuma ya pazia inategemea kama ni mlangoni au dirishani na kama no dirishani inategemea kama ni dirisha la grill au la Mbao na kama ni la Mbao inategemea Nondo zake zikoje hivyo ni ngumu kujua kilicho nyuma ya pazia kabla ya kufunuaNimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman...
Tulizeni akili zenu ili mjue mmezaliwa vipi kwa maana muijue historia, Zanzibar haijawahi kuwa koloni labda chini ya utawala huu wa Koti la Muungano.Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman...
Chuki haikusaidii.....Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakombioa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Umemaliza🤣🤣 👍👍👏👏👏😍😍Shida inaanzia kwenye shule za kata zinazalisha vijana wenye uelewa mdogo sana mambo though sio wote, vijana wa leo hawafikilii kingine zaidi ya ushabiki na mihemko ya mambo, pia mizizi ya umaskini na kutoka kwenye familia za kichawi inachangia kuwa na vijana ambao upeo wao umeegemea kwenye chuki, husda na wivu. Angalizo, hivi sasa kuna plotting conspiracy nyingi sana ambavo zinaonekana wazi kumchonganisha Rais as an individual na wananchi wake hivyo vijana tuingalie Tanzania yetu ya kesho, tujitambue na tujue wajibu wetu kwa ajili ya taifa letu
Hakika kamarada....👍😍Umemaliza mjadala.
😍😂😂😂😂😂😂
Tabu ni namna tunavyofikiri tu... hebu google PM wa UK wiki hii yupo ziarani wapi kama siyo kwenye nchi ambazo kwa upni wako siyo superpowers?
Usiwe short sighted na negative hivyo.... tutor muda tuione na tupinge kwa facts...
Kwa sababu waoman ni ndugu zetu wa damu, utawala wa oman zanzibar huwezi kuufananisha na utawala wa uingereza au ujerumani ambapo utawala ulikuwa ukiendeshwa kutoka London au kutoka Berlin.Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Ni Saudi Arabia anaenda ku visit, nchi ambayo jumamosi iliyopita serikali ilikata vichwa na kuua watu 81 kwa pamoja (mass executions) Kwa 'makosa' mbalimbali ikiwemo ugaidi, imani za dini, nk 🙄😂😂😂😂😂😂
Tabu ni namna tunavyofikiri tu... hebu google PM wa UK wiki hii yupo ziarani wapi kama siyo kwenye nchi ambazo kwa upni wako siyo superpowers?
Usiwe short sighted na negative hivyo.... tutor muda tuione na tupinge kwa facts...
NGORONGORO CRATERNimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Ameenda kuiimarisha mahusiano ya kibiashara... kwanini isiwe Sisi....Ni Saudi Arabia anaenda ku visit, nchi ambayo jumamosi iliyopita serikali ilikata vichwa na kuua watu 81 kwa pamoja (mass executions) Kwa 'makosa' mbalimbali ikiwemo ugaidi, imani za dini, nk 🙄
Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakombioa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Hao kina Uk, Usa, France, nk ni super powers zenye influence kubwa sana.
Taabu ipi hapo kwa Oman.
Wanapenda halua za bure.
Unataka Ufaransa iwe na influence kubwa kwa Zanzibar kuliko Oman ?!!!
Mbona Afrika Magharibi yote kumejaa influence ya Ufaransa(lugha +utamaduni)....kwanini dhambi iwe ni kwa Zanzibar na kutakiwe kusiwe na kumbukumbu /uhusiano wowote wa hao waomani ?!!!
Hebu ziongezeeni thamani hizo elimu zenu ndogo mlizozipata.....
#Siempre JMT[emoji120]