Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Unadefine vip maendeleo nikusaidie maendeleo sio magorofa ni uwepo wa huduma za kijamii
Kama watu kuwa access ya maji moshi tokea 80's huko watu tunatumia maji ya bomba mfano ni nadra sana kumkuta mtu ana tank la simtank la nini nawakati maji yapo kila siku
hospitali,
Shule mfano mim tokea miaka ya 90's tunakula shule
Barabara mfano moshi kuna barabara za lami hadi huko vijijini hadi huko miliman upareni kuna lami,
umeme ulishakuja tokea miaka ya 1970's huku sehemu nyingine wakipelekew a umeme wa rea

Hayo ndo maendelea na sio magorofa
 



Hapa nakubaliana na wewe honestly kabisa @ Mnyalukolo.

Lakini hawa jamaa wana kaafadhali kidogo.

Na kikubwa ni kutokutawaliwa na uchawi na ushirikina kwenye jamii zao hao Wachaga.

Na wanafanya kazi sana.
 
Hapa nakubaliana na wewe honestly kabisa @ Mnyalukolo.

Lakini hawa jamaa wana kaafadhali kidogo.

Na kikubwa ni kutokutawaliwa na uchawi na ushirikina kwenye jamii zao hao Wachaga.

Na wanafanya kazi sana.
Afadhari ipo kwa sehemu ndogo! Lakini kusema kuwa Makabila mengine hawako na maendeleo na hawajui mambo ya FEDHA ni kujilisha upepo!
Pia mambo yanabadilika sana jamii nyingi zimebadilika sana!
Saizi mfano hata Wakurya wanaupiga mwingi sana kwenye biashara!
Ukifika Mwanza ndo utajua hawa jamaa nguvu yao!
Kwa ujumla kadri elimu inavyozidi kuwa kubwa na mwamko wa jamii unaongezeka sana maendeleo hayatabki kwanu tu yatatamaraki kila kona!
 
Wasukuma wanafanya kazi sana lakini wanangushwa na uchawi na ushirikina kwa sana.

Unakuta mwenzao anapambana anaimarika
Kiuchumi lakini wanamroga wanamharibia kazi anajikuta jobless,

Na unakuta wanamfanyia hivyo ni ndugu wa damu.

Wasukuma kwenye kufanya kazi ni Habari nyingine na hii ni tangu Historia enzi za mababu na mabibi.

Na imekuwa ikienda hivyo kizazi hata kizazi.

Lakini sasa hivi mnavyo oa makabila huenda ikapotea hiyo spirits ya kupenda kufanya kazi kama punda.

Unaoa mswahili watoto anawaambukiza spirit ya uvivu na kuridhika kwa Kibaba cha unga !

Vinginevyo baba uwe Karibu sana na wanao Na kuhakikisha mindsets zao kwa Habari ya kupenda kufanya kazi ngumu inabaki kuwa hivyo siku zote Na kuwarithisha vizazi vyao.
 
Ushirikina upo ni sikatai ila kusema kuwa wameegemea sana huko hapana!
Miaka sasa ile hali ya kuogopa kujenga nyumba atarogwa Hapo tena hata wewe ukienda saizi usukuma utaona nyumba nzuri za kisasa zipo na zinakengwa!
Upande wa kufanya kazi inafahamika wasukuma wanapenda kufanya kazi za kilimo na ufugaji lakini hali sasa imebadilika sana wasukukuma pia wanafanya sana biashara mbali mbali!
 



Hali ya uchawi na ushirikina bado ipo kwenye jamii mikoa mingi sio usukumani tu,

Usukumani nimetoa mfano sababu nao wanafanya kazi sana,

Hapo Tanga tu jirani na hao wachaga Kuna watu bado hawathubu kujenga kwao wala kwenda na Gari ,

Hii ni seriously kabisa,

Nani anataka kuwa target ya wachawi ktk kuangushwa au kizimishwa mazima?

Hata hivyo hatuwezi wote kufanya biashara tu kama shughuli ya kiuchumi,

Lazima kuwe na mgawanyo wa majukumu wengine wawe wafugaji, wengine walime, wengine watumishi n.k.

Pia Kuna kulima kwa biashara.
 
Wachawi wakijua mwanao ananeema kiuchumi watakuroga wewe mzazi na huyo mwanao [emoji108]

Mzazi utapewa magonjwa uugueeee weeee kila mwanao akikurushia hela unaenda kununua dawa unywe ujitibie badala ya kwenda kununua nyama au samaki au maziwa ule ,

Fikiria wachawi walivyo wabaya .

Na mtoto wako asipoangalia wanamharibia kazi na kumdhuru.
 
Wachaga wamefanikiwa kwa sababu ya wizi na siyo elimu, biashara wala nini.
 
Unafahamu kwa mujibu WA takwimu Kilimanjaro ni mkoa WA kwanza kwa makazi bora na miundombnu toshelezi Vijijin kwa 90%?
 
Kahama ina mãendeleo hapo mjini tu,ukitoka kilometa mbili unakutana na vijumba vya nyasi,Sisi hatuangalii mjini tunaangalia makazi halisi na maisha ya Kila siku ya MTU
NBS wanatuambia Kilimanjaro ni ya 3 WANANCHI wake(mmoja mmoja) kuwa na kipato kikubwa MBna shinyamga haipo?
 
MPE Elimu anadhani mãendeleo ni kushangaa mji
 
Mwanza,sengerema Wachaga kibao wapo n'a biashara za kati na kubwa
Arusha 80% matajiri ni Wachaga,dar usiseme,mbeya,iringa pia wapo
 
Wanapanda mafisi
 
Wachaga ni lile kabila kati ya 12 la Israel lililopotea (Lost tribe of Israel).

Kwa kifupi wachaga ni wayahudi wa Africa.

Tafiti za DNA zimethibisha kabisa.
Wachaga ni Wayahudi au wezi wa Afrika? Wayahudi wanatumia bongo kujiletea maendeleo ila, nyie, wachaga mnatumia silaha
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Kwa Kweli mm siyo mchaga ila kuhusu kiwaaribu watot wao Hilo hpn wakinga ndio Wana tabia hyo ila Hawa viumbe Ni wezi wazuri mno na ni watoaji wa sadak makanisani snaa nilikuwa nazali hapo kkkt korongwe Hilo kanisa asilimi 90 Ni wachaga jaamaa kila jpili sadak na Zaid ya milioni sitini


Siri nakuibiaa penda sna kutoa sadaka dad donatila sijasema sadaka za damu sadaka ktk nyumba za ibada ,toa vzr Tena kwa amani utaona mapokeo tu
 
Mtasema yote ila wachanga wako juu na watazidi kuwa juu Zaid

Imaging rais awe mchaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waluguru na wakaguru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…