dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ni kweli Ila jamaa waheh Ni wazito sna dah nimefanya nao Kaz kwa kweli swla la kuchakarika kwao Ni mtiani ,,baadhi ya marafakinzangu nimeanza kuwakimbia tuSehemu yenye shule nyingi Tanzania ni Iringa
Ooh kina chengee acha tulia aisee wale wameishia kulogana tu hkn jipya paleNingeongea, ila ntaishia kushambuliwa tu, swala la kutafuta liko maeneo mengi tu, hv mnawajua vizuri waNyabtuzu... Sukuma ya Simiyu?
Wasukuma wana vinasaba vya kuridhika hao.. kuna stage wakifika wanaona washamaliza, huanza majigambo, sifa, matumizi ya hovyo ya pesa hadharani, kujimwambafai hadharani, n.k.Wasukuma wanafanya kazi sana lakini wanangushwa na uchawi na ushirikina kwa sana.
Unakuta mwenzao anapambana anaimarika
Kiuchumi lakini wanamroga wanamharibia kazi anajikuta jobless,
Na unakuta wanamfanyia hivyo ni ndugu wa damu.
Wasukuma kwenye kufanya kazi ni Habari nyingine na hii ni tangu Historia enzi za mababu na mabibi.
Na imekuwa ikienda hivyo kizazi hata kizazi.
Lakini sasa hivi mnavyo oa makabila huenda ikapotea hiyo spirits ya kupenda kufanya kazi kama punda.
Unaoa mswahili watoto anawaambukiza spirit ya uvivu na kuridhika kwa Kibaba cha unga !
Vinginevyo baba uwe Karibu sana na wanao Na kuhakikisha mindsets zao kwa Habari ya kupenda kufanya kazi ngumu inabaki kuwa hivyo siku zote Na kuwarithisha vizazi vyao.
Hata nn ni mchaga ila mke kanikimbia kisa nawekeza pesa nyingi kwenye biashara wakat yy anataka tule Bata wakat mm najiona Bado mdogo sana miaka 26ENEO PEKEE WALILOSHINDWA KUFANIKIWA, NI KWENYE NDOA.
NDOA ZAO HAZIDUMU KABISAA.
MAENEO MENGINE WAKO VIZURI
Kumbe pHd Dr wew Ni mchaga pure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujafika uchagani na wala huwajui Wachaga.
Nakubalina na wew PhD ,kitu chote kizuri hapo Arusha Ni Mali ya mchagaArusha imetekwa na Wachaga, mataita wa Arusha ni wachaga.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]WAKATI WEWE UNAWAZA MTU WA KUSAIDIANA NAYE MAISHA.
MWENZIO ANAWAZA KIPATO CHAKE NI CHAKE YEYE, YEYE TU.
MALEZI NA MAKUZI YAO YAWE WAANDA KUWA WANAUME WA KIKE.
HAO HAWANA HAIBA ZA KIKE, HUWEZI KUTA WANAONGEA KWA UPOLE, UNYENYEKEVU, UTII, KUJISHUSHA.
ZAIDI NI WATU WA MASHINDANO, KUPENDA KUTAWALA (HASA KAMA MUME SIO WA KABILA YAO), KIBURI, JEURI, DHARAU, UBABE UBABE.
Nyumba, shamba na pesa mkuuWaliwahi kukuibia Nini mkuu?
Acha uongo vijiji vya kahama viko vizuri kuanzia Manzese,Masabi,Segese,kakola nk sema mnapenda sifa sana!Kahama ina mãendeleo hapo mjini tu,ukitoka kilometa mbili unakutana na vijumba vya nyasi,Sisi hatuangalii mjini tunaangalia makazi halisi na maisha ya Kila siku ya MTU
NBS wanatuambia Kilimanjaro ni ya 3 WANANCHI wake(mmoja mmoja) kuwa na kipato kikubwa MBna shinyamga haipo?
Lazima wawepo hata wasukuma wapo mpaka Arusha ,Manyara nk!Mwanza,sengerema Wachaga kibao wapo n'a biashara za kati na kubwa
Arusha 80% matajiri ni Wachaga,dar usiseme,mbeya,iringa pia wapo
Kilimo ni kazi ya suluba hamna mtu anaeipenda na hta wanaolima wanalima basi tu kwakuwa wamebanana ila wakipata tobo sehemu nyingine huwa wanakimbia haraka sanaMhindi wakati wa rikizo watoto wote wanaenda dukani Kwa baba ,
Wanakuwa field,
Wanaanza kuwa mentored tangu wakiwa wadogo wanaanza kupenda na kujifunza kufanya biashara,
Imagine!
Sisi waswahili hata shamba watoto wetu hawataki kwenda [emoji848][emoji848]
Wanataka washinde kijijini wale na wengine kuwa kwenye magenge ya wahuni kulewa Na kuvuta bange.
Hawataki kwenda kushinda shamba kulima,
Wengine ndio kila mtu anataka kuendesha bodaboda.
Sasa watakuwa wanaume wa aina gani hawataki kulima vijijini?
Na wazazi wa siku hizi wanawaendekeza, zamani kama hutaki kwenda shamba kulima na chakula hutapewa.
Wazazi walikuwa wanatimiza Maandiko asiyefanya kazi Na asile .
Wachaga gani hao wanaofanya kazi sana?Hapa nakubaliana na wewe honestly kabisa @ Mnyalukolo.
Lakini hawa jamaa wana kaafadhali kidogo.
Na kikubwa ni kutokutawaliwa na uchawi na ushirikina kwenye jamii zao hao Wachaga.
Na wanafanya kazi sana.
Wachaga wamefanikiwa kwa sababu ya wizi na siyo elimu, biashara wala nini.
Hakuna asiyejua kuwa hata kwenye third world countries Kuna watu wako well off.Kumbukeni Tanzania ni third world country. In a nutshell wote maskini tu kwenye lense ya dunia.