Hivi Dar kuna makazi bora ? Hauko seriuosNipatie picha yoyote ya nyumba ya nyasi uchagan nitakupa million 4 bure
Uchagan yote hakuna MTU analala nyumba ya nyasi kwanza nyasi uipate wapi?
Usifikir uchagan kuna nÿumb za nyasi kama kwenu ilolanguru
Uchagan almost 95% Kila nyumba Ina umeme na maji,ndio maana takwimu za NBS zinautaja mkoa WA Kilimanjaro WA pili kwa makazi bora Baada ya dar
Mbona machache sanaHâta New-York Kuna slums
Wewe ni mshamba dar yenyewe Kuna mbagala nairobi Kuna kibira
Wachaga wamejenga vijijin na huduma zote Hadi supermark,shell,bank zipo vijijin uchagan
Imagine wilaya ya rombo Ina matawi 6 ya bank
Hakuna tajiri mchagga wa maana MwanzaMwanza,sengerema Wachaga kibao wapo n'a biashara za kati na kubwa
Arusha 80% matajiri ni Wachaga,dar usiseme,mbeya,iringa pia wapo
Walikuibia NN ewe maskin?Wachaga ni Wayahudi au wezi wa Afrika? Wayahudi wanatumia bongo kujiletea maendeleo ila, nyie, wachaga mnatumia silaha
Unaota ndotoSehemu yenye shule nyingi Tanzania ni Iringa
Nyumba inaibwaje aliibeba mgongoni?Nyumba, shamba na pesa mkuu
Mimi siyo masiki we mangi. Nina uwezo wa kuhamisha kijiji kizima cha wachaga. Na kuwapeleka kule Msomera wakakae na digidigi porini huko.Walikuibia NN ewe maskin?
Mimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja naWachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Si ajabu Kilimanjaro kuongoza kwa idadi ya sekondar Tanzania
Ya pili kwa kipato kikubwa kwa watu wake kwa 90% Baada ya dar
Kilimanjaro (ukiondoa Moshi na Himo) kwingine kote ni VIJIJINI PORI.Ya kwanza kwa makazi bora vijijin i.e almost 95% ya Kila nyumba uchagan Ina maji na umeme
Hadi ghorofa za kuishi zipo vijin uchagan View attachment 2695416
How can you be well off wakati umezungukwa na bad governance, poor health care, housing etc. Hata ufanyaje utakuwa na quality mbaya ya maisha.Hakuna asiyejua kuwa hata kwenye third world countries Kuna watu wako well off.
Itakua umewaona wachaga wawili huko kwenu,wachaga wavivu,wazembe,walevi wengi tu,achilia mbali umasikiniMimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na
- Hukubali kuzungumzia tatizo.
- Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
- Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
- Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
- Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
- Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.
Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.
Umharibu mtoto halafu upate pesa inawezekanaje?Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...
Huyo ndio anawapa utajiri...
Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Aliyekwambia hakuna Uchagani nani?Kutokuwepo kwa uchawi uchagani kumewasaidia sana.
Uchawi ni laana kubwa sana.
Na ubaya wa dhambi ya uchawi kurithishwa kizazi hata kizazi .
Hate dhidi ya wachaga ipo juu kweli kweli.....
Ni kitu huwezi kukibadilisha kipo tu..!
Yaani naturally mchaga anachukiwa labda kutokana na tabia zake
Au lafudhi yao
Au mambo wanayoyafanya.....
Mzee mwanakijiji aliwahi kuanzisha kabisa thread....
Wachaga jueni mnachukiwa....sio na wote lkn ni baadhi ya makabila ila sidhani kama kuna kabila linachukiwa kama wachaga...au ni tribalism? Au nepotism,..au ni ule ulevi wao?
Kwann wanachukiwa?
Nadeclare mm ni mchaga....!
Aliyekwambia hakuna Uchagani nani?
Huna hyo jeuri,jeuri ya kuhamusha watu wanayo wachaga tuMimi siyo masiki we mangi. Nina uwezo wa kuhamisha kijiji kizima cha wachaga. Na kuwapeleka kule Msomera wakakae na digidigi porini huko.
Makofi mengi kwakoMimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na
- Hukubali kuzungumzia tatizo.
- Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
- Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
- Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
- Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
- Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.
Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.