Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Nipatie picha yoyote ya nyumba ya nyasi uchagan nitakupa million 4 bure
Uchagan yote hakuna MTU analala nyumba ya nyasi kwanza nyasi uipate wapi?
Usifikir uchagan kuna nÿumb za nyasi kama kwenu ilolanguru
Uchagan almost 95% Kila nyumba Ina umeme na maji,ndio maana takwimu za NBS zinautaja mkoa WA Kilimanjaro WA pili kwa makazi bora Baada ya dar
Hivi Dar kuna makazi bora ? Hauko seriuos
 
Hate dhidi ya wachaga ipo juu kweli kweli.....

Ni kitu huwezi kukibadilisha kipo tu..!

Yaani naturally mchaga anachukiwa labda kutokana na tabia zake
Au lafudhi yao
Au mambo wanayoyafanya.....


Mzee mwanakijiji aliwahi kuanzisha kabisa thread....

Wachaga jueni mnachukiwa....sio na wote lkn ni baadhi ya makabila ila sidhani kama kuna kabila linachukiwa kama wachaga...au ni tribalism? Au nepotism,..au ni ule ulevi wao?

Kwann wanachukiwa?

Nadeclare mm ni mchaga....!
 
Sehemu yenye shule nyingi Tanzania ni Iringa
Unaota ndoto
Kwa mujibu WA necta mkoa WA kwanza kwa shule nyingi za sekondar (both A level and O level) ni Kilimanjaro
Huku halmashauri ya wilaya ya Moshi ikiwa ya kwanza kitaifa kwa shule nyingi za msingi
 
Wachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Mimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na

  • Hukubali kuzungumzia tatizo.
  • Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
  • Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
  • Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
  • Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
  • Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.

Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.
 
Si ajabu Kilimanjaro kuongoza kwa idadi ya sekondar Tanzania

Shule nyingi ni upuuzi, Kwasababu watu wenyewe mnakimbia kwenu kila siku mpaka darasa linakuwa na wanafunzi 8.
Ya pili kwa kipato kikubwa kwa watu wake kwa 90% Baada ya dar

Calculations zinafanyika kiboya. Huwezi kuchukua pato zima la mkoa ukagawanya kwa idadi ya watu. Na wachagga kila siku mnakimbia kwenu, huna mnaleta misiba tu nammeacha wazee.

Kwahiyo kwa vyovyote sehemu yenye watu wachache itaonekana Ina kipato kizuri, jambo ambalo ni uongo.
Ya kwanza kwa makazi bora vijijin i.e almost 95% ya Kila nyumba uchagan Ina maji na umeme
Hadi ghorofa za kuishi zipo vijin uchagan View attachment 2695416
Kilimanjaro (ukiondoa Moshi na Himo) kwingine kote ni VIJIJINI PORI.

Kwahiyo, wakati unasema unasema VIJIJINI Kuna nyumba nzuri, tuoneshe MJINI ni wapi??
 
Mimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na

  • Hukubali kuzungumzia tatizo.
  • Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
  • Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
  • Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
  • Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
  • Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.

Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.
Itakua umewaona wachaga wawili huko kwenu,wachaga wavivu,wazembe,walevi wengi tu,achilia mbali umasikini
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Umharibu mtoto halafu upate pesa inawezekanaje?
 
Hate dhidi ya wachaga ipo juu kweli kweli.....

Ni kitu huwezi kukibadilisha kipo tu..!

Yaani naturally mchaga anachukiwa labda kutokana na tabia zake
Au lafudhi yao
Au mambo wanayoyafanya.....


Mzee mwanakijiji aliwahi kuanzisha kabisa thread....

Wachaga jueni mnachukiwa....sio na wote lkn ni baadhi ya makabila ila sidhani kama kuna kabila linachukiwa kama wachaga...au ni tribalism? Au nepotism,..au ni ule ulevi wao?

Kwann wanachukiwa?

Nadeclare mm ni mchaga....!



Husuda.

Maskini wasofanikiwa huwa wanawaonea husuda walofanikiwa.

Husuda huambatana na chuki .

Husuda ni tabia ya kichawi.
 
Aliyekwambia hakuna Uchagani nani?



Hata kama upo itakuwa ni kwa uchache sana,

Sikatai maana penye wengi hapakosi kuwa na mengi

Lakini itakuwa ni kwa uchache sana.

Huwezi linganisha na eneo lolote lile nchini.

Acha kabisa,

Eti Xmass na magari vile na jamii kuhamasika kupenda kusoma na kuwa fahari ya jamii nzima?!

Iko wapi hiyo hapa nchini kama sio Uchagani pekee?
 
Mimi siyo masiki we mangi. Nina uwezo wa kuhamisha kijiji kizima cha wachaga. Na kuwapeleka kule Msomera wakakae na digidigi porini huko.
Huna hyo jeuri,jeuri ya kuhamusha watu wanayo wachaga tu
Walohamisha wazaramo kimara yote mbezi yote,kibamba NK,
Vikindu,toangoma na Sasa Hadi kisarawe bila kusahau bagamoyo
 
Mimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na

  • Hukubali kuzungumzia tatizo.
  • Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
  • Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
  • Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
  • Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
  • Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.

Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.
Makofi mengi kwako
 
Back
Top Bottom