Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Sasa km nyie wengine mmekimbia kwenu na hamtaki kupasikia wala kurudi kwa nini mkasirikie maendeleo ya watu wanaowekeza kwao?
Mkifika Mjini hamtaki kusikia tena habari za huko kwenu simiyu 😁
 
Sasa km nyie wengine mmekimbia kwenu na hamtaki kupasikia wala kurudi kwa nini mkasirikie maendeleo ya watu wanaowekeza kwao?
Mkifika Mjini hamtaki kusikia tena habari za huko kwenu simiyu 😁
Hahaha hakuna mtu aliyekimbia kwao! Mfano Wakinga wanapaendeleza kwao Njombe pia Wasukuma huko kanda ya ziwa kama Kahama,Mwanza na Geita pia Wakurya hawaajapakimbia Tarime ndo maana kuna maendeleo sehemu hizo!
Labda kwa upande wa Waha ndo unaweza kusema hawarudi kwao ila hayo makabila mengine yanarudi kwo kwa sana tu!
Ukitaka kujua nenda Airport au Magufuli Terminal hapo uone watu wanavyosafiri kwenda Mbeya,Mwanza na maeneo mengine!
 
Ila hizi takwimu zenu zitakuja kutuua, Iringa Ni ya pili kwa kipato kikubwa kwa mtu mmoja baada ya Dar, hio Iringa tena inaongoza kwa utapia mlo!!!!!

Kitengo Cha takwimu, kibinafsishwe!!! Wapewe DP World
wanaoongoza kufanya takwimu ni maprofesa!! na maprofesa wengi akili zao wanazijua wenyewe,kama wamedata flani ivi,,ndo manake haukuna taifa ata moja linaongozwa na profesa,,,dunia nzima hamna!!!!!!!!,,,,,,,,ata madikteta wengi ni wale waliosomea sayansi{ata kama hawajafika ngazi ya profesa]..............wao ni wa2 wa princple tu!!!!!...da!!!!! ghafla nimemkumbuka mzee MAGU!!!
 
Vyema sana ila Nyerere aliwarudisha nyuma mno sijui atawalipa fidia gani?
 
Moshi bado sana! Maana mji huu ni?mongering lakini bado sana kiukuaji na unazidiwa na Kahama ambayo ni makao makuu ya wilaya!
Ukikatiza Moshi kuelekea Arusha bila kuingia ndani utabaki unajiuliza hivi hiyo moshi ipo wapi? Moshi ni pana mno na ipo zaidi huko milimani. Tembea zaidi uone.
 
Acha uongo mji unajieleza bhana!
ni mji wa kawaida ila kwa vile wapenda sifa Mnasumbuliwa sana!
Ukikatiza Moshi kuelekea Arusha bila kuingia ndani utabaki unajiuliza hivi hiyo moshi ipo wapi? Moshi ni pana mno na ipo zaidi huko milimani. Tembea zaidi uone.
 
ENEO PEKEE WALILOSHINDWA KUFANIKIWA, NI KWENYE NDOA.

NDOA ZAO HAZIDUMU KABISAA.

MAENEO MENGINE WAKO VIZURI
iko hivi,wakati hawa jamaa wakiwa ktk harakati zao za kutafuta utajiri,hawapendi kuumizwa kichwa na m2 yoyote,ndo manake wanapendi kwenda kutafuta pesa mbali na nyumbani kwao,ili kukwepa kero za ndugu{ndugu ni moja ya chanzo kikubwa cha umasikini},,,sasa iko ivi,kama ujuavyo wakati wa uchumba wanawake huwa wanaficha makucha yao,lakini wakishaolewa tu hukunjua makucha yao{sio wote ila ni wengi,na wale ambao wanaficha kucha zao wana tatizo la wivu ambalo nalo ni chanzo cha umasikini,kwani jamaa akirudi usiku kwa ajili ya utafutaji anakutana na maneno},,sasa kinachotokea,jamaa anamprint mkewe chapchap,alaf anamwachia nyumba na vilivyomo anaenda mbali nae na haoi tena,ni kutafuta mikwanja mpaka anakuwa don ndo anakumbuka familia yake na kuirejea,na kipindi chote hicho anatuma mapene kwa famlia yake,ukitaka kujua hilo nenda huko milimani utakuta wanawake kibao wa kichagga wametelekzwa[ni maelekzo wanayofundishwa wakati wa jando,kumbuka jamaa wanatahiriwa wakishabalehe ili somo liingie kichwani,ingawa siku izi hali inabadilika kidogo}
 
Discipline ya maisha kwa wachagga huanzia kwa watoto, malezi juu ya nidhamu pesa, elimu na uvumilivu wakati wa utafutaji huanzia mbali sana, haya malezi huwa na impact kubwa mbele ya safari.

Watoto wa kichagga huwa hawadekezwi kwa kiwango kikubwa, watoto wa kichagga huwa hawaachwi na baba zao, au kutelekezwa hii ina umuhimu sana kwenye ukuaji wao, ndio maana si rahisi sana kukuta mtoto wa kichagga anaranda mtaani.

Jamii nyingine inabd zijifunze kupitia hapo, kitu kingine familia zisiwe na ubinafsi wa maendeleo kwa ndugu zao,

Sababu zipo nyingi, lakini zaidi ya hapo ni asili pia imechangia
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Total lie, sijawahi ona hii kitu, acha kupambana ukijipa moyo maendeleo yanaletwa na upaka shume bata wahedi
 
Na hata ukirudi nyumbani na chuma yako, unaalika majirani, na jamaa mnakaa pamoja kuria kitochi, sehemu nyingine ukishika pesa huwezi thubutu kurudi hata nyumbani, hayo maendeleo yatakujaje kijijini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…