Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Unyamwezini,usukumani vijijini huko mbona zipo hata zaidi ya hizo,yaani tuuze tumbaku,mahindi na mchele tushindwe kujenga vijumba vya hivyo!?..sisi hatufanyi kazi za kuingiza vishilingishilingi,tukiuza tunapata mlima,tunajenga nyumba za kisasa na gesti juu,nyinyi kazi zenu za kudunduliza ndo unaona nyumba Kama hiyo ni mbali
Hahahaha eti unyamwezini, usukumani hahahaha maeneo hayo nayajua vizuri mno,vijiji vya huko vijumba vya slop,nyasi ndivyo vimetawala na maji ni shida kbwá watu Wana share Maji na ngombe kwemye malambo
 
Wew Baki na vitakwimu vyako vya wauza bandari...Kwanza sio wa Mwisho kimaendeleo Bali katika Per capita...tofautisha Hilo...tz tunazidiwa per capita na benin, Guinea, equatorial Guinea lakin maendeleo tz iko mbali sana kulinganisha na nchi hizo.....

Siku zote kipimo cha per capita hufavor sehemu yenye population ndogo...Lindi Tu inaizidi Arusha, mwanza NK kwa per capita lakin tazama maendeleo sasa...
Hiyo ni kanuni ya Dunia nzima
Hâta ukipitia mmoja mmoja ita resemble tu
Hâta hivyo kwa GDP ya kimikoa Bado Kilimanjaro tumeiacha mbali Kagera Licha ya kamkoa ka Kilimanjaro kuwa kadogo
Kagera ingelokuwa ni Kilimanjaro nakuhakikishia tungeongoza not only in Tanzania but also in the African continent
 
WACHAGGA WOTE WANASIFIWA MAENDELEO KWA AJILI YA WAROMBO NA WAKIBOSHO HAO NDIO MATAJIRI WENYE KUSHIKA HII JAMHURI.MIMI NI MCHAGGA HIVYO NITAKACHOKISEMA NAKIFAHAMU.kuna wachagga wa vunjo mwika marangu-kilema,kirua old moshi uru na machame.hawa ni white colour ni wamangi wanasema hawawezi kufanya kazi za ovyo kama kupika na kuchoma nyama kwenye mabaa little did they know kuwa huko ndipo kwenye pesa.wamewaachia warombo na wakibosho ambao hawachagui kazi na ndio wachagga matajiri
Mkibosho niko hapa shule yetu sio sana, ila wengi ni wauza nguo na viatu.....saivi tunafanya kila kitu.
 
Hahahaha eti unyamwezini, usukumani hahahaha maeneo hayo nayajua vizuri mno,vijiji vya huko vijumba vya slop,nyasi ndivyo vimetawala na maji ni shida kbwá watu Wana share Maji na ngombe kwemye malambo
Unazungumzia mwaka gani!?..mradi wa maji ziwa Viktoria ulikamilika mkoa wa tabora 2019
 
Wale mazezeta wa kishimundu na kirema si ni wachagga hao ? Moshi hoi sana. Ni overrated
Na Ile misukule na mafisi kule usukumani vipi?
Kila msukuma analala na fisi ndani washenzi kabisa
Imitunga ni misukule kwa ajili ya kulimia majaruba.
 
Hivi Dar kuna makazi bora ? Hauko seriuos
Uchagan hakuna nÿumba ya nyasi hâta Moja
Kule usukumani nÿumba za nyasi ni 60% Vijijin nÿumba za maana zipo katk centers tu Ila makazi halisi ya WANANCHI ni nÿumba za hovyo mno yote hayo ni kwasababu ya uchawi MTU anaogopa kuweka bati zuri au nÿumba nzuri kisa atalogwa Bado mpo Karne ya 17
 
Back
Top Bottom