Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Hao jamaa wana bidii ya kazi hakuna mfano. Kitu chochote kinachoingiza hela anafanya, na anaweza fanya hata masaa 20 kwa siku (kama wajapani). Mpe hata jiko la mishikaki tu uone bidii yake. Kitu kingine wana nidhamu ya fedha kupitiliza. Pia hawapendi kumtegemea mtu, kila mtu anataka asimame mwenyewe. Huwezi kwenda kwa ndugu yako mchaga ukawa unakaa kaa tu eti unacheki ramani! Lazima uwe specific umeenda kufanya nini na utakaa muda gani. Mchaga akimuunganishia ndugu yake kazi, anaenda kufanya kazi kweli; ha-relax eti kwa sababu kazi kaunganishiwa na ndugu yake ambaye ni boss hapo. Kwa kifupi hawaangushani wao kwa wao.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wazanaki wapo juu, nafasi yenu bado ipo katika historia ya nchi hii, Nyerere aliweka taifa mbele na sio watu wake, hata watoto wake hakuwapa upendeleo

wazanaki wengi wana hali za kawaida tu na hapa ndipo tunaamini Nyerere hakuwa na upendeleo.
Una miaka mingapi mkuu? Ili tuone namna ya kuli adress hili ili nchi nzima iwe kama uchagani(1st or 2nd world economy).

Kwa kuwa unagusa mambo ya kijamii, vipi taaluma yako upo katika mambo ya sosholojia, maendeleo ya jamii au uchumi?

Na je umeisoma vizuri historia ya hii nchi na ziada zake? Unajua maeneo ambayo the late president alikuwa anapata resistance kubwa kabla ya vyama vingi?

Vyama vingi au upinzani mpaka leo kwa kiasi kikubwa ni formation tu ya CCM kuridhisha jumuiya ya kimataifa. Hawakuwa tayari kwa hilo, na mpaka sasa hawajawa tayari.

Hizi mambo kama uchawi n.k ni vitu vyepesi sana vipo katika kila jamii,impact yake katika kukwamisha au kuleta maendeleo ni NDOGO sana.
 
Kutokuwepo kwa uchawi uchagani kumewasaidia sana.

Uchawi ni laana kubwa sana.

Na ubaya wa dhambi ya uchawi kurithishwa kizazi hata kizazi .
We bwana wee hili la uchawi ni mambo binafsi na ya familia, hapo unaongelea familia yako mkuu, ndio haifanyi hivyo.

Uchawi ni neno pana, unaweza fanya tambiko la mizimu lakini likaitwa uchawi kwa mtazamo wa wengine. Wachaga hawana wazee wa kimila au kusimamia mila?

Maendeleo ya jamii yana factors zake, ilitakiwa mfafanue kwa kuangalia hizo factors kisha uangalie mikoa mingine kwanini hawajafanikiwa kwa kiwango cha level ya "uchaga" na sio Kilimanjaro😊.
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, hata kwenye ukoo masikini wale wenye magari hutokea koo maskini ila wao kama wao wapo mbali kuzidi wenzao, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, wachaga wapo mbali mno, yapo makabila yanayofatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, shule zipo nyingi zimejengwa vizuri hakuna mambo ya wanafunzi kurundikana madarasan ama kukaa chini, walishamaliza haya matatizo tangu zamani. Mwamko huu wa elimu umepelekea kuwepo shule nyingi za kimataifa Moshi na Arusha, matajiri wanapeleka watoto shule hizi hawaoni shida kulipia ada milioni 40, shule hizi ni kama international school of Moshi, Braeburn, Kennedy house, St Constantine, n.k. ni shule zenye mfumo moja duniani na hata matajiri na wanasiasa wa nchi za ulaya husomeshea watoto, kuna comnections nzito na expoosure,.... hapa kwenye elimu wanaokaribia labda wahaya lakini tatizo wahaya wanakomaa kusoma tu Ila mchaga anasoma, anatafuta pesa, hasahau kwao na hata akipata hajigambi wala kuridhika.

Biashara - Ni wakongwe katika hii sekta, biashara ipo ndani ya damu, hata walioishia darasa la saba wanafanya makubwa, wasomi nao maarufu tumeona wakileta makampuni ya ndege, media house, kampuni za kuwachota pesa wazungu waje kutalii, n.k. ukicheki hata soko la hisa DSE watanzania wa asili wapo wachache ila wachaga ndio wengi. sikuhizi naona kuna makabila mengine yamepata mwamko kama wakinga, waha, wasukuma n.k ila kwakweli bado gepu ni refu, wameachwa mbali sana na wachaga.

siasa - Siasa pia ipo ndani ya damu, nikueleze tu ya kwamba hata vyama vingi maarufu vya upinzani vilianzia huko, TLP, NCCR, CHADEMA, n.k.

kuendeleza na kujenga vijijini kwao hawana mpinzani, Ni sehemu yenye vijiji vyenye makazi bora ya nyumba nzuri na za kisasa, wengi wakistaafu hurudi kuishi huku bila shida. maji Safi ya bomba yapo, barabara zipo, hospitali zipo, umeme upo, n.k. Kama ilivyo kwa Moshi kuwa mojawapo ya miji Safi miaka n'a miaka, vijijin pia makazi yamepamgiliwa vizuri kwa usafi wa hali ya juu. nimeona makabila mengine wanajaribu lakini tatizo unakuta hata mtu akijenga kijijini kwao, nyumba nzuri bado inaweza kuwa moja ama zinahesabika kijiji kizima, na hapo kuna shida ya maji inabidi wachimbe kisima, umeme watumie jenereta, barabara mbovu, n.k. Hali hii hupelekea hata waliojenga vijijini wakistaafu wanabaki mjini, ila pia wengi huogopa kujenga ama hata wakijenga wanasita kwenda kuishi vijijini kwasababu ya uchawi, Nina rafiki yangu wa Geita huko wazazi wake walikataa awajengee nyumba ya kisasa kwa kuogopa kuwatia ndugu na majirani zao wivu wasije wakarogwa ama wamroge mtoto wao, mtu anaweza kujenga huko kibishi lakini ni ile ijulikane tu kajenga kwao ila hapendi kukaa huko labda itokee msiba ama dharura.

Kwenye hizi nafasi za Teuzi hawajajaa sana maana hizi nafasi kwa kiasi kikubwa ni Raisi anateua watu wake ila ukija huku kwenye ajira za ofisini wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo, ujivuni, kiburi, sifa, n.k. anaona ndio ashafika, ataanza kuiita laki si pesa hadharani, dharau, sifa za kutaka attention watu wajue ana hela, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila hizi tabia hawaendekezi.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kama ilivyo umasaini na ukuryani, simaanishi kwamba haupo kabisaaaa ila ni kwa kiwango kidogo sana, si jambo la kusumbua sana jamii kwamba flani kamtupia jini jirani kisa kapata kazi, kurogana kisa mtu kanunua baiskeli, kutupiana mabusha, malimbwata, kuwanga usiku, n.k. ukisikia mganga mchaga, mmasai au mkurya kimbia, huyo tapeli tu, huku mtu akitaka uchawi afunge safari kwenda kununua kwengine, sehem ya karibu upareni.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa nchi mbali mbali wanarudi kwao, Kama ilivyo utamaduni wa kila kabila matambiko hayawezi kukosekana kwa zile koo za kichifu.
..........................
Wizi na wakwepa Kodi
 
Wauaji , wachukuaji wa nyota,wanaroho mbaya , washirikina in advance, yaani kama mzungu anamkimbia si ninoma ,yaani kuuana wao kwa wao kawaida sana jingine matambiko ,sio wanauwa ndugu zao tu wanaua hadi watu waliowazunguka,hawana utu ni majangili,makatili ,yaani hapa tunaishi nao tumeshachoka hawami wanapenda kutumia wenzao kwa faida zao
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, hata kwenye ukoo masikini wale wenye magari hutokea koo maskini ila wao kama wao wapo mbali kuzidi wenzao, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, wachaga wapo mbali mno, yapo makabila yanayofatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, shule zipo nyingi zimejengwa vizuri hakuna mambo ya wanafunzi kurundikana madarasan ama kukaa chini, walishamaliza haya matatizo tangu zamani. Mwamko huu wa elimu umepelekea kuwepo shule nyingi za kimataifa Moshi na Arusha, matajiri wanapeleka watoto shule hizi hawaoni shida kulipia ada milioni 40, shule hizi ni kama international school of Moshi, Braeburn, Kennedy house, St Constantine, n.k. ni shule zenye mfumo moja duniani na hata matajiri na wanasiasa wa nchi za ulaya husomeshea watoto, kuna comnections nzito na expoosure,.... hapa kwenye elimu wanaokaribia labda wahaya lakini tatizo wahaya wanakomaa kusoma tu Ila mchaga anasoma, anatafuta pesa, hasahau kwao na hata akipata hajigambi wala kuridhika.

Biashara - Ni wakongwe katika hii sekta, biashara ipo ndani ya damu, hata walioishia darasa la saba wanafanya makubwa, wasomi nao maarufu tumeona wakileta makampuni ya ndege, media house, kampuni za kuwachota pesa wazungu waje kutalii, n.k. ukicheki hata soko la hisa DSE watanzania wa asili wapo wachache ila wachaga ndio wengi. sikuhizi naona kuna makabila mengine yamepata mwamko kama wakinga, waha, wasukuma n.k ila kwakweli bado gepu ni refu, wameachwa mbali sana na wachaga.

siasa - Siasa pia ipo ndani ya damu, nikueleze tu ya kwamba hata vyama vingi maarufu vya upinzani vilianzia huko, TLP, NCCR, CHADEMA, n.k.

kuendeleza na kujenga vijijini kwao hawana mpinzani, Ni sehemu yenye vijiji vyenye makazi bora ya nyumba nzuri na za kisasa, wengi wakistaafu hurudi kuishi huku bila shida. maji Safi ya bomba yapo, barabara zipo, hospitali zipo, umeme upo, n.k. Kama ilivyo kwa Moshi kuwa mojawapo ya miji Safi miaka n'a miaka, vijijin pia makazi yamepamgiliwa vizuri kwa usafi wa hali ya juu. nimeona makabila mengine wanajaribu lakini tatizo unakuta hata mtu akijenga kijijini kwao, nyumba nzuri bado inaweza kuwa moja ama zinahesabika kijiji kizima, na hapo kuna shida ya maji inabidi wachimbe kisima, umeme watumie jenereta, barabara mbovu, n.k. Hali hii hupelekea hata waliojenga vijijini wakistaafu wanabaki mjini, ila pia wengi huogopa kujenga ama hata wakijenga wanasita kwenda kuishi vijijini kwasababu ya uchawi, Nina rafiki yangu wa Geita huko wazazi wake walikataa awajengee nyumba ya kisasa kwa kuogopa kuwatia ndugu na majirani zao wivu wasije wakarogwa ama wamroge mtoto wao, mtu anaweza kujenga huko kibishi lakini ni ile ijulikane tu kajenga kwao ila hapendi kukaa huko labda itokee msiba ama dharura.

Kwenye hizi nafasi za Teuzi hawajajaa sana maana hizi nafasi kwa kiasi kikubwa ni Raisi anateua watu wake ila ukija huku kwenye ajira za ofisini wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo, ujivuni, kiburi, sifa, n.k. anaona ndio ashafika, ataanza kuiita laki si pesa hadharani, dharau, sifa za kutaka attention watu wajue ana hela, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila hizi tabia hawaendekezi.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kama ilivyo umasaini na ukuryani, simaanishi kwamba haupo kabisaaaa ila ni kwa kiwango kidogo sana, si jambo la kusumbua sana jamii kwamba flani kamtupia jini jirani kisa kapata kazi, kurogana kisa mtu kanunua baiskeli, kutupiana mabusha, malimbwata, kuwanga usiku, n.k. ukisikia mganga mchaga, mmasai au mkurya kimbia, huyo tapeli tu, huku mtu akitaka uchawi afunge safari kwenda kununua kwengine, sehem ya karibu upareni.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa nchi mbali mbali wanarudi kwao, Kama ilivyo utamaduni wa kila kabila matambiko hayawezi kukosekana kwa zile koo za kichifu.
..........................
tungeuliza na wakinga kwanza kabla hatujaenda kwa wachaga.
 
Hakuna mafanikio ya kabila mangi, mafanikio ni suala la mtu binafsi.
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, hata kwenye ukoo masikini wale wenye magari hutokea koo maskini ila wao kama wao wapo mbali kuzidi wenzao, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, wachaga wapo mbali mno, yapo makabila yanayofatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, shule zipo nyingi zimejengwa vizuri hakuna mambo ya wanafunzi kurundikana madarasan ama kukaa chini, walishamaliza haya matatizo tangu zamani. Mwamko huu wa elimu umepelekea kuwepo shule nyingi za kimataifa Moshi na Arusha, matajiri wanapeleka watoto shule hizi hawaoni shida kulipia ada milioni 40, shule hizi ni kama international school of Moshi, Braeburn, Kennedy house, St Constantine, n.k. ni shule zenye mfumo moja duniani na hata matajiri na wanasiasa wa nchi za ulaya husomeshea watoto, kuna comnections nzito na expoosure,.... hapa kwenye elimu wanaokaribia labda wahaya lakini tatizo wahaya wanakomaa kusoma tu Ila mchaga anasoma, anatafuta pesa, hasahau kwao na hata akipata hajigambi wala kuridhika.

Biashara - Ni wakongwe katika hii sekta, biashara ipo ndani ya damu, hata walioishia darasa la saba wanafanya makubwa, wasomi nao maarufu tumeona wakileta makampuni ya ndege, media house, kampuni za kuwachota pesa wazungu waje kutalii, n.k. ukicheki hata soko la hisa DSE watanzania wa asili wapo wachache ila wachaga ndio wengi. sikuhizi naona kuna makabila mengine yamepata mwamko kama wakinga, waha, wasukuma n.k ila kwakweli bado gepu ni refu, wameachwa mbali sana na wachaga.

siasa - Siasa pia ipo ndani ya damu, nikueleze tu ya kwamba hata vyama vingi maarufu vya upinzani vilianzia huko, TLP, NCCR, CHADEMA, n.k.

kuendeleza na kujenga vijijini kwao hawana mpinzani, Ni sehemu yenye vijiji vyenye makazi bora ya nyumba nzuri na za kisasa, wengi wakistaafu hurudi kuishi huku bila shida. maji Safi ya bomba yapo, barabara zipo, hospitali zipo, umeme upo, n.k. Kama ilivyo kwa Moshi kuwa mojawapo ya miji Safi miaka n'a miaka, vijijin pia makazi yamepamgiliwa vizuri kwa usafi wa hali ya juu. nimeona makabila mengine wanajaribu lakini tatizo unakuta hata mtu akijenga kijijini kwao, nyumba nzuri bado inaweza kuwa moja ama zinahesabika kijiji kizima, na hapo kuna shida ya maji inabidi wachimbe kisima, umeme watumie jenereta, barabara mbovu, n.k. Hali hii hupelekea hata waliojenga vijijini wakistaafu wanabaki mjini, ila pia wengi huogopa kujenga ama hata wakijenga wanasita kwenda kuishi vijijini kwasababu ya uchawi, Nina rafiki yangu wa Geita huko wazazi wake walikataa awajengee nyumba ya kisasa kwa kuogopa kuwatia ndugu na majirani zao wivu wasije wakarogwa ama wamroge mtoto wao, mtu anaweza kujenga huko kibishi lakini ni ile ijulikane tu kajenga kwao ila hapendi kukaa huko labda itokee msiba ama dharura.

Kwenye hizi nafasi za Teuzi hawajajaa sana maana hizi nafasi kwa kiasi kikubwa ni Raisi anateua watu wake ila ukija huku kwenye ajira za ofisini wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo, ujivuni, kiburi, sifa, n.k. anaona ndio ashafika, ataanza kuiita laki si pesa hadharani, dharau, sifa za kutaka attention watu wajue ana hela, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila hizi tabia hawaendekezi.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kama ilivyo umasaini na ukuryani, simaanishi kwamba haupo kabisaaaa ila ni kwa kiwango kidogo sana, si jambo la kusumbua sana jamii kwamba flani kamtupia jini jirani kisa kapata kazi, kurogana kisa mtu kanunua baiskeli, kutupiana mabusha, malimbwata, kuwanga usiku, n.k. ukisikia mganga mchaga, mmasai au mkurya kimbia, huyo tapeli tu, huku mtu akitaka uchawi afunge safari kwenda kununua kwengine, sehem ya karibu upareni.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa nchi mbali mbali wanarudi kwao, Kama ilivyo utamaduni wa kila kabila matambiko hayawezi kukosekana kwa zile koo za kichifu.
..........................
waheshimiwe kwa kweli, ni wapambanaji sana
 
wana ardhi nzuri iliyovuta wazungu wamissionary wakawekeza hapo, ikawasaidia pia kulima kahawa
 
Uzi una facts pia zimechanganyika na pumba ndani yake. hili gepu la wachaga na makabila mengine ni sawa na gepu la afrika na ulaya au kenya na Tanzania. HISTORICAL MATTER
 
Uzi una facts pia zimechanganyika na pumba ndani yake. hili gepu la wachaga na makabila mengine ni sawa na gepu la afrika na ulaya au kenya na Tanzania. HISTORICAL MATTER
Endelea kujidanganya! Huko Moshi kuna maajabu gani? Mbona Wachaga tuko nao mtaani ni choka mbaya tu! Wenye mafanikio wapo hasa wale wazee wao wa zamani ila hawa wachaga wa sasa mimi nakukatalia!
Jamii nyingi sana zinafanikiwa katika sekta za biashara kama unavoweza kuona Wakinga,Waha,Wasukuma,Wakurya nk!
Kubaki na idea ya miaka ya 90 mimi natakaa maana unaposema gepu kubwa katika sekta gani? Maana hata vyuoni makabila yote yapo,kwenye biashara makabla mengine pia yanafanya vizuri,Madini , Kilimo kote huko Makabila yote yanafanya vizuri kwa level ya nchi yetu!
 
Endelea kujidanganya! Huko Moshi kuna maajabu gani? Mbona Wachaga tuko nao mtaani ni choka mbaya tu! Wenye mafanikio wapo hasa wale wazee wao wa zamani ila hawa wachaga wa sasa mimi nakukatalia!
Jamii nyingi sana zinafanikiwa katika sekta za biashara kama unavoweza kuona Wakinga,Waha,Wasukuma,Wakurya nk!
Kubaki na idea ya miaka ya 90 mimi natakaa maana unaposema gepu kubwa katika sekta gani? Maana hata vyuoni makabila yote yapo,kwenye biashara makabla mengine pia yanafanya vizuri,Madini , Kilimo kote huko Makabila yote yanafanya vizuri kwa level ya nchi yetu!
nimesoma kozi wachanga walikuwa more than 60 na kozi yetu ilikuwa na watu 79 tu
 
nimesoma kozi wachanga walikuwa more than 60 na kozi yetu ilikuwa na watu 79 tu
Kaka unapozungumzia mafanikio sio ajira tu! Kuna watu wako Mbeya huko wanafanya kilimo wanavuna magunia mengi sana na wengine wapo wanafanya uchimbaji wa madini Kahama huko wanapata mabilioni ya fedha ila wewe umekalia kuangalia upande wa elimu pekeyake!
Mafaniko ya wachaga yapo ila mimi kwa kuangalia naona mafaniko yao yanafanana na watu wengine ndo maana Karaikoo hapo utakutana na Wapemba,Wakinga,Waha,Wasukukuma nk!
Kwanza hakuna ajira ambayo utakutana na ratio hiyo ya watu wanaofanya interview ni pororjo za jamii forum tu! Labda kama ilifanyika kishumundu na inahusisha vibarua wa kulima shamabani!
 
Back
Top Bottom