Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Niombe radhi kwa kuwa nje ya mada kidogo, nimeona sio mbaya nikiwapa huduma itayotusaidia kua online mda mwingi na kufaidi mambo mengi ya mtandaoni ikiwemo hapa, kwa gharama ndogo sana

KWA WATUMIAJI WA TIGO KUNA BANDO NAFUU SANA(T!G0 P0STPA!D), UKIJIUNGA MIAKA MIWILI MIZIMA UTAKUA UMEOKOA HELA NYING UNAYOTUMIA KWAAJIL YA DATA NA DAKIKA.

UTAKUA UNAPEWA GB&DAKIKA NYINGI KILA TAREHE 1, THEN UNALIPIA HELA SIKU YOYOTE, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO!!
SH 25K GB 30 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI
SH 30K GB 35 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI

SH. 40K GB 48 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
SH. 60K GB 72 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
MALIPO YOTE UNAFANYA DIRECT KWENDA T!G0 HUNITUMII HATA MIA! (mm unanipa NO. yako tuu kwajili ya activation, nikiku activate nalipwa commission na T!G0)


UZURI ZAID NI KUA SAHIVI HUTAWEKWA KWENYE KIKUNDI CHA WATU, UNAKUA PEKE YAKO, SO HUWEZ KUPATA USUMBUFU WOWOTE!

Karibuni sana!!!

NIPIGIE AU NITEXT WHATSAPP KWA : 0717700921
hivi ninyi mnaojifanya kugawa mabando, huwa mnamiliki mitandao ya simu? wafanyakazi wa mitandao hiyo? mawakala wa mitandao hiyo? au nini? hebu fungukeni tuwajue.
 
Wachaga Tangu kale ni watu smart
Hapa ni Mangi mkuu mareale akiongoza Baraza kuu la Wachaga 1957
Pia Wachaga ni jamii ya kwanza kumiliki gazeti miaka ya 30's
1710351665522.jpg
 
Which country is this?
Ukabila ukabila na kutafuta sifa za kikuda.
Karne hii ukabila maendeleo tutayasikia nchi zingine.
 
Mkuu unategemea kuna siku ccm wanaweza mchagua mchaga kuwa mgombea Urais?
Sio Salama Sana Makabila Yenye influence na Power ku lead Nchi Mkuu, Rais anatakiwa atoke kwenye Makabila ya Chini Minority kama Nche kule Umakondeni, Mzee wa Msoga Chalinze, Mwinyi na Mchonga Uzanaki Kule Kutoa Rais kwenye Makabila Majority kama Wachaga, Wanyakyusa au Wahaya au Wasukuma Ni Kutengeneza Mpasuko na Kutadhoofisha sana Utaifa Kwasababu watu hao tena wana Kam empire fulani watajazana Kwenye Key position italeta shida, Siumeona utawala wa Magu ulivyosumbua mambo ya Ukanda na Key Position kuchukuliwa na Wasukuma ila leo Ukimpa urais mkwere au Msambaa Serikali yaje atajenga na Makundi yote ivo itaimalisha Utaifa
 
Back
Top Bottom