Ni ipi tofauti ya simu za Redmi na Xiaomi?

Ni ipi tofauti ya simu za Redmi na Xiaomi?

Hakuna tofauti ni tecno na infinix
 
Naona zinanichanganya nashindwa kuelewa ni kampuni moja au tofauti

Kama ni kampuni moja iweje na matoleo ya majina tofauti kwa mfano Kuna Xiaomi 14 na Kuna Redmi note 13 simu zote hizo utakuta kama ni Redmi kwenye body kava imeandikwa Redmi na kama ni Xiaomi basi imeandikwa Xiaomi

Tofauti na kampuni nyingine za simu wanaweza kuwa na matoleo tofauti lakini jina la kampuni linakuwa ni moja kwenye matoleo yote

Naomba pia kufahamishwa ubora na uzuri kati ya Redmi na Xiaomi nikitaka kununua nichukue ipi?

Wachina ni wahuni sana.

Kampuni moja inaweza kutengeneza simu zake na kuweka majina tofauti tofauti. Ili wakuze faida.

Mfano hai ni Tecno, Infinix na Itel hizo simu zote zinatengenezwa na kumilikiwa na kampuni moja tu.
 
300K ghali sana mkuu, Sasa hivi kuna 13C na 14C ambazo unazipata chini ya hapo. Pia ukiongeza kidogo hapo unapata A15 ambayo ni simu nzuri zaidi.
Nifafanulie sifa za hiyo a15 mkuu nione kama itanifaa
 
Naona zinanichanganya nashindwa kuelewa ni kampuni moja au tofauti

Kama ni kampuni moja iweje na matoleo ya majina tofauti kwa mfano Kuna Xiaomi 14 na Kuna Redmi note 13 simu zote hizo utakuta kama ni Redmi kwenye body kava imeandikwa Redmi na kama ni Xiaomi basi imeandikwa Xiaomi

Tofauti na kampuni nyingine za simu wanaweza kuwa na matoleo tofauti lakini jina la kampuni linakuwa ni moja kwenye matoleo yote

Naomba pia kufahamishwa ubora na uzuri kati ya Redmi na Xiaomi nikitaka kununua nichukue ipi?
TECNO na INFINIX
 
Haihitaji degree kuelewa mkuu ni akili ya kuzaliwa tu

Soko la Ulaya wameingia kwa jina la Phillips.

Wachina hao wa infinix wajanja sana.

Wamenunua jina lenye nguvu ulaya wamezama nalo sokoni.

Hata bongo ukiziona simu brand ya Philips jua ndio hao hao kina tecno
 
Soko la Ulaya wameingia kwa jina la Phillips.

Wachina hao wa infinix wajanja sana.

Wamenunua jina lenye nguvu ulaya wamezama nalo sokoni.

Hata bongo ukiziona simu brand ya Philips jua ndio hao hao kina tecno
Sawa mkuu ila mimi sio simu zangu hizo 😃😃
 
Nifafanulie sifa za hiyo a15 mkuu nione kama itanifaa
All around simu nzuri display ya Amoled, processor yenye speed Helio G99, inapokea updates miaka mingi، Storage za ufs zenye speed Etc. It's just camera yake sio nzuri, ila compare na 10C still camera nzuri.
 
All around simu nzuri display ya Amoled, processor yenye speed Helio G99, inapokea updates miaka mingi، Storage za ufs zenye speed Etc. It's just camera yake sio nzuri, ila compare na 10C still camera nzuri.
Bei shingapi? mkuu
 
Katika hizo hizo simu zako usije kushangaa mchina yupo.

Mchina hakimbiliki

Bwawa la rufiji lina faida matrilioni ya hela..

wachina wamezunguka mlango wa nyuma wamekuja kuzoa ma trilioni yetu kwa jina la watu wengine
Mimi sijasema situmii bidhaa za china
Naongelea hizo brand zisizo na viwango vya uhitaji wangu
 
Last time ilikua 340k bei ya jumla, sina uhakika bei ya sasa.
Mkuu hivi unazizungumziaje hzi mashine 2

1. ZTE NUBIA Z60 ULTRA
2. ASUS ROG 9 PRO

Yaani in general kulinganisha na flagships za makampuni makubwa kma samsung
 
Mkuu hivi unazizungumziaje hzi mashine 2

1. ZTE NUBIA Z60 ULTRA
2. ASUS ROG 9 PRO

Yaani in general kulinganisha na flagships za makampuni makubwa kma samsung
Flagship za kawaida ni all Arounder kila kitu kinazingatiwa, Camera nzuri, software updates za kutosha, mambo ya Artifical intelligence, display kali, perfomance ya kutosha Etc.

Simu kama Asus Rog ni gaming phone, zinakuwa na camera ila sio kali kama flagship nyengine na software pia ya kawaida ila perfomance wanahakikisha ni kubwa na ukaaji chaji mkubwa, hizi zina target wanaocheza games sana. So kama hujali Camera ama display kali unataka kucheza games za kisasa kwa Quality kubwa Rog ina make sense.

Kwa Zte gaming phone zao zinaitwa Redmagic, Z60 ultra ni flagship za Zte sema wao ni more of budget flagship simu zao hazina bei na pia hazipo maeneo yote kuna masoko wanayo ona wao yanalipa wana target.
 
Flagship za kawaida ni all Arounder kila kitu kinazingatiwa, Camera nzuri, software updates za kutosha, mambo ya Artifical intelligence, display kali, perfomance ya kutosha Etc.

Simu kama Asus Rog ni gaming phone, zinakuwa na camera ila sio kali kama flagship nyengine na software pia ya kawaida ila perfomance wanahakikisha ni kubwa na ukaaji chaji mkubwa, hizi zina target wanaocheza games sana. So kama hujali Camera ama display kali unataka kucheza games za kisasa kwa Quality kubwa Rog ina make sense.

Kwa Zte gaming phone zao zinaitwa Redmagic, Z60 ultra ni flagship za Zte sema wao ni more of budget flagship simu zao hazina bei na pia hazipo maeneo yote kuna masoko wanayo ona wao yanalipa wana target.
Nimeona hyo ZTE z60 ultra bei rahisi sana kuliko hta Redmi note 14 pro plus
 

Attachments

  • Screenshot_20250113-093852.png
    Screenshot_20250113-093852.png
    565.8 KB · Views: 8
Back
Top Bottom