Ni jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui?

Ni jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui?

Hahaa mimi pesa inaniuma sana yaani kumpa mwanamke ambaye sijafunga naye ndoa!

Pesa yangu tutatumia naye katika hali hizi mbili, elewa neno tutatumia naye
(1)Tuspend naye outing
(2)Kugharamia mchakato wa kumla mzigo

Baada ya hapo asinitafute

Wanawake wengi miaka hii ni malaya so treat them like bitches
Mi natafuta mume wakunioa ukimwona wa hizi sifa naomba unipe namba zake .
A. Awe handsome wastani avae vizuri
B. Awe mwelewa na mpole
C. Awe na heshima na kazi na vihela hela vya kutunza familia mie sipendi kujipotezea muda . Kwa watu ambao hawaoi
 
Mi natafuta mume wakunioa ukimwona wa hizi sifa naomba unipe namba zake .
A. Awe handsome wastani avae vizuri
B. Awe mwelewa na mpole
C. Awe na heshima na kazi na vihela hela vya kutunza familia mie sipendi kujipotezea muda . Kwa watu ambao hawaoi
Sawa imeisha hiyo, hapa mbuzi kafia kwa muuza supu, na mimi natafuta mke tunafanyaje sasa
 
Screenshot_20240730-235309.jpg
 
Back
Top Bottom