MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Nyie jamaa ni kama mapacha.Haka huwa ni kautaratibu kazur,nakapenda ila tatzo kila siku papuchi unazipiga kwa ndomu tu
Na mimi siku hz sipend sana kutumia ndomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie jamaa ni kama mapacha.Haka huwa ni kautaratibu kazur,nakapenda ila tatzo kila siku papuchi unazipiga kwa ndomu tu
Na mimi siku hz sipend sana kutumia ndomu
Ntakupigia nakula.....Uko wapi?
Tupo wengi😃Nina allergy na vizinga na kuhudumia hapa ndipo warembo tunaposhindwana
Mambo vipi master?Ni jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui kama linakukwaza.
Tupa jiwe gizani ujumbe ufike
Tuendelee na msimamo wetu mkuu 🤣Tupo wengi😃
Ya nini kulipishwa kwa ajili ya viungo tulivyopewa bure na Mungu.Tuendelee na msimamo wetu mkuu 🤣
NAKAZIAYa nini kulipishwa kwa ajili ya viungo tulivyopewa bure na Mungu.
Mi natafuta mume wakunioa ukimwona wa hizi sifa naomba unipe namba zake .Hahaa mimi pesa inaniuma sana yaani kumpa mwanamke ambaye sijafunga naye ndoa!
Pesa yangu tutatumia naye katika hali hizi mbili, elewa neno tutatumia naye
(1)Tuspend naye outing
(2)Kugharamia mchakato wa kumla mzigo
Baada ya hapo asinitafute
Wanawake wengi miaka hii ni malaya so treat them like bitches
UMenifurahisha jana sanaNtakupigia nakula.....
Na nini hicho bro 😃UMenifurahisha jana sana
Sawa imeisha hiyo, hapa mbuzi kafia kwa muuza supu, na mimi natafuta mke tunafanyaje sasaMi natafuta mume wakunioa ukimwona wa hizi sifa naomba unipe namba zake .
A. Awe handsome wastani avae vizuri
B. Awe mwelewa na mpole
C. Awe na heshima na kazi na vihela hela vya kutunza familia mie sipendi kujipotezea muda . Kwa watu ambao hawaoi
Upo serious ??Sawa imeisha hiyo, hapa mbuzi kafia kwa muuza supu, na mimi natafuta mke tunafanyaje sasa
Hujanijibu upo serious ??Sawa imeisha hiyo, hapa mbuzi kafia kwa muuza supu, na mimi natafuta mke tunafanyaje sasa
Ndiyo sitaniiUpo serious ??
Kwanza nahitaji miakaNdiyo sitanii
Kunikataza kunywa “ beer”
Sawa tuanze na wewe mremboKwanza nahitaji miaka