Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kujamba na kukoroma usiku, ukimwambia anakwenda kwa nyumba kumiNi jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui kama linakukwaza.
Tupa jiwe gizani ujumbe ufike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujamba na kukoroma usiku, ukimwambia anakwenda kwa nyumba kumiNi jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui kama linakukwaza.
Tupa jiwe gizani ujumbe ufike
Ulijuaje mapema tu mkuu mkimwona majukwaani mumheshimu shemeji yenu huyo 🤣Kwa ukimya huu najua ushazama pm safi sana kijana.😂
Kale ka cc. Sweetcandy kahusike sasa kwa kila comment yako😂Ulijuaje mapema tu mkuu mkimwona majukwaani mumheshimu shemeji yenu huyo 🤣
Acha uongo shemeji ?? Nani??Ulijuaje mapema tu mkuu mkimwona majukwaani mumheshimu shemeji yenu huyo 🤣
Nijibu basi mkuu.Acha uongo shemeji ?? Nani??
Nini??Nijibu basi mkuu.
Wewe mbona kimya nijibuUlijuaje mapema tu mkuu mkimwona majukwaani mumheshimu shemeji yenu huyo 🤣
Njoo pmWewe mbona kimya nijibu
Pm wapi jombaa mwaga sera hapa hapa.Njoo pm
Siji kwanini nijipigie debe nikuombee uongee namie siji .Njoo pm
Dj leta wimbo wa zu chu chu SIJISiji kwanini nijipigie debe nikuombee uongee namie siji .
Mwambie hivi anibembeleze aoneshe ananifagiliaDj leta wimbo wa zu chu chu SIJI
Tatizo mwamba ni mtu wa hip hop sana kubembeleza hawezi😁Mwambie hivi anibembeleze aoneshe ananifagilia
Basi baki jukwaani na Yohimbe bark muendelee kupiga stori nitarudi midaSiji kwanini nijipigie debe nikuombee uongee namie siji .
Mbona sifa zote mimi ninazo lakini hunitaki jamani? Tatizo ni kimoja chali mengine yote nipo good.Mwambie hivi anibembeleze aoneshe ananifagilia
Mkuu asante kwa bonge la assist.Basi baki jukwaani na Yohimbe bark muendelee kupiga stori nitarudi mida
Mbona hutaki kuja wewe unataka nikufuate au wewe ni domo zegeBasi baki jukwaani na Yohimbe bark muendelee kupiga stori nitarudi mida
Anajamba halafu ananifunika shuka huku anacheka.Mama watoto ni muhuni sana.Ni jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui kama linakukwaza.
Tupa jiwe gizani ujumbe ufike
Sema mtoto kama kakuelewa wewe mimi naforce tuu.Basi baki jukwaani na Yohimbe bark muendelee kupiga stori nitarudi mida