SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Mie ni mwanadadaSema mtoto kama kakuelewa wewe mimi naforce tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ni mwanadadaSema mtoto kama kakuelewa wewe mimi naforce tuu.
Kwa mumeo ni mtoto.Mie ni mwanadada
Anampenda mdaka mishale (diara )mpaka ananikeragaNi jambo gani ambalo mpenzi wako analifanya, linakukwaza lakini yeye hajui kama linakukwaza.
Tupa jiwe gizani ujumbe ufike
SasaNina allergy na vizinga na kuhudumia hapa ndipo warembo tunaposhindwana
Mwaka wa kuforce huu mwanawane, hamna shidoSema mtoto kama kakuelewa wewe mimi naforce tuu.
NimeshafikaMwaka wa kuforce huu mwanawane, hamna shido
Nawewe anza kumsifia kajala kila mda.Anampenda mdaka mishale (diara )mpaka ananikeraga
Nidelete niniBasi baki jukwaani na Yohimbe bark muendelee kupiga stori nitarudi mida
Ukisikia maiti imemng'ang'ania shekhe ndio hivi Mzee wa kupambania 😂😂Nimeshafika
Eh unamaanisha nini??Ukisikia maiti imemng'ang'ania shekhe ndio hivi Mzee wa kupambania 😂😂
Oyaaa nimedandiwa kama kibaka mikononi mwa maafande 🤣Ukisikia maiti imemng'ang'ania shekhe ndio hivi Mzee wa kupambania 😂😂
Nimemaanisha jamaa anakupenda sema anazuga tuuEh unamaanisha nini??
Sijui unakwama wapi mzee baba😂Oyaaa nimedandiwa kama kibaka mikononi mwa maafande 🤣
Nyie msinitete kabisa na mnitue mie sio maiti labda wewe na yeye nasijakulazimisha niende PM MIMIOyaaa nimedandiwa kama kibaka mikononi mwa maafande 🤣
Wewe ni mwongo unanisema mimiNimemaanisha jamaa anakupenda sema anazuga tuu
Usimind sana bibie ni msemo tuu haumaanishi kitu kibaya, relax bibie.Nyie msinitete kabisa na mnitue mie sio maiti labda wewe na yeye nasijakulazimisha niende PM MIMI
Hapana ni msemo tuu huo shemeji.Wewe ni mwongo unanisema mimi
Akuu mnikome ungetafuta mosemo mingine maiti nahamnilishiUsimind sana bibie ni msemo tuu haumaanishi kitu kibaya, relax bibie.