Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Kupiga simu na kusema niambie mara nyingi nawaambia tuachane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie kazee fulani ila sijafika 40Sawa tuanze na wewe mrembo
Kabiso 😁😁Ni shido
Single maza?Mie kazee fulani ila sijafika 40
Sijaolewa mtoto atapatikana wapi??Single maza?
Angekuwa mume wangu au ni rafiki nitamwambiaKuna jamaa ye huwa analalamika kwangu kwamba mkewe ana tabia Kutokupiga mswaki so kunuka mdm na mwingine ye hudai demu wake anakula sana
Umejiita kazee wewe itakuwa changamoto kushika mimbaSijaolewa mtoto atapatikana wapi??
Umenipa ukakuta sijashikaUmejiita kazee wewe itakuwa changamoto kushika mimba
Malizaneni PM sasa.Umenipa ukakuta sijashika
Wachaaa wee.
Jongea 😂😂Wachaaa wee.
Mkuu acha kudevela mtoto kajileta mwenyewe punguza maswali fanya jambo. Mambo ya miaka muachie kobe.Umejiita kazee wewe itakuwa changamoto kushika mimba
Siwezi mfuata mtu mie PM kama hajanifuata yeye natokaje kumfuata yeyMalizaneni PM sasa.
Bonge la assist kutoka kwa modric kwenda kwa mbappe, jamaa sijui anakwama wapi?Malizaneni PM sasa.
Mzee wa kupambania mkuu Mungu akupe nini? Gunia la chawa??Siwezi mfuata mtu mie PM kama hajanifuata yeye natokaje kumfuata yey
Tufanye jambo bibie sema mimi ni mzee wa kimoja chali tutawezana kweli?Siwezi mfuata mtu mie PM kama hajanifuata yeye natokaje kumfuata yey
Au anipe donda ndugu niwe nafukuza nzi 🤣Mzee wa kupambania mkuu Mungu akupe nini? Gunia la chawa??
Kwa ukimya huu najua ushazama pm safi sana kijana.😂Au anipe donda ndugu niwe nafukuza nzi 🤣