Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

It's painful 😖 😣 moyoni navyo viwaza ni complicated nimeanza harakat zangu natembea na elbow crutche plus Maumivu..

Naweza nikajiona na shida Ila wapo wenye shida zaidi..unaweza kujiona una njaa Ila wapo wenye njaa zaidi..unaweza ona unaumwa au una dhiki Ila wapo wenye dhiki na wanaumwa zaidi..

🙏🙏 Asante mungu kwa pumzi haya mengineo ni ya ziada TU..
Pole sana Dkt., Mungu ni mwema utakuwa sawa kabisa muda si mrefu.
 
It's painful 😖 😣 moyoni navyo viwaza ni complicated nimeanza harakat zangu natembea na elbow crutche plus Maumivu..

Naweza nikajiona na shida Ila wapo wenye shida zaidi..unaweza kujiona una njaa Ila wapo wenye njaa zaidi..unaweza ona unaumwa au una dhiki Ila wapo wenye dhiki na wanaumwa zaidi..

🙏🙏 Asante mungu kwa pumzi haya mengineo ni ya ziada TU..
Pole sana mkuu, mwenyezi Mungu akatufanyie wepesi.
Amina 🙏
 
Wasalamu wakuu!

Niwape hongera na pole kwa hustling za kila siku za kuhakikisha wewe binafsi na watu wako wa karibu wanafurahia juhudi zako.

Nimeleta andiko hili najua si mara ya kwanza yaweza kuwa lilishaandikwa kwa namna nyingi na wadau humu jukwani.

Hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, najua kwa namna moja ama nyingine kila mtu ana mbinu ama story ambayo ilimpa nguvu na hali kubwa ya kupambana hadi alipofikia kujiweka katika nafasi nzuri ya kujihakikishia ameupunguza ugumu wa maisha kwa kiasi kikubwa.

Hali hii ya ugumu wa maisha imewafanya watu wengi waone hata suala la kuoa na kuwa na familia ni anasa.

Sasa enyi ma-malejendi na wakongwe tupeni mbinu ama story zilizowafanya muupunguze huu ugumu. Jambo au story yako inaweza kuwa silaha kubwa ya kumtoa mtu mwingine sehemu moja kwenda nyingine.

Asanteni sana na karibuni 🫶

SOON AFTER MARRIAGE
GOD CHANGED MY STATUS, FROM HOMELESS TO HOME, FROM JOBLESS TO JOB, FROM BLAME TO BLAMELESS.....Ushauri ukifikia miaka 24 umemaliza masomo oa utakuja kunishukuru.
 
Baadhi ya ndugu wa babayngu walitutenga baada ya baba tu kufariki mambo ya mirathi sio mchezo

Kiukweli wamenifanya niwe na hasira na maisha nikiwa mdogo sana
Nikajifunza Kuishi na watu Baki
Nikajifunza uvumilivu
Nikajifunza kupambana nikajifunza kuacha kulia lia binadamu hawana huruma

My mom pamoja na kuwa first lady wakat huo 😀 na Mimi kuwa princess baada ya madadiliko alipita nayo hakuyaonea aibu maisha
Alipambana sana alinifundisha kukubali muda na nyakat kutoka kula tunachokitak had kula kinachopatikana

alinifundisha kusamehe kias nimekuwa konk siwez chukia mtu jamni naweza tukanwa nikacheka tu 😀

Nowdays ni mtu naeweza Kuishi popote ba Kuishi na yoyote
Nina utulivu wa kutosha kwenye haya maisha
Alhamdulillah 🙏
Kaka kapata mke, hakukosea kuchagua. 😍

Pole wifi ndugu wana mambo ya ajabu sana linapokuja suala la mirathi, mimi mzee kafariki kaacha mali nyingi ila kutokana na funzo nililolipata kutoka kifo cha mama wala sina habari nao. Nimewaambia hizo mali gawaneni mpk migomba yake ya shamba huko peaneni msinihesabie.!! Sitaki kelele.
Niko busy kupambania ninachokitafuta kwa jasho langu.
 
Kaka kapata mke, hakukosea kuchagua. 😍

Pole wifi ndugu wana mambo ya ajabu sana linapokuja suala la mirathi, mimi mzee kafariki kaacha mali nyingi ila kutokana na funzo nililolipata kutoka kifo cha mama wala sina habari nao. Nimewaambia hizo mali gawaneni mpk migomba yake ya shamba huko peaneni msinihesabie.!! Sitaki kelele.
Niko busy kupambania ninachokitafuta kwa jasho langu.
Kwahiyo hadi migomba ukawaambia wahesabu🤣🤣🤣
 
Kaka kapata mke, hakukosea kuchagua. 😍

Pole wifi ndugu wana mambo ya ajabu sana linapokuja suala la mirathi, mimi mzee kafariki kaacha mali nyingi ila kutokana na funzo nililolipata kutoka kifo cha mama wala sina habari nao. Nimewaambia hizo mali gawaneni mpk migomba yake ya shamba huko peaneni msinihesabie.!! Sitaki kelele.
Niko busy kupambania ninachokitafuta kwa jasho langu.
Mkuu una moyo mgumu sana.
 
Kaka kapata mke, hakukosea kuchagua. 😍

Pole wifi ndugu wana mambo ya ajabu sana linapokuja suala la mirathi, mimi mzee kafariki kaacha mali nyingi ila kutokana na funzo nililolipata kutoka kifo cha mama wala sina habari nao. Nimewaambia hizo mali gawaneni mpk migomba yake ya shamba huko peaneni msinihesabie.!! Sitaki kelele.
Niko busy kupambania ninachokitafuta kwa jasho langu.
Pole Nkamu 🥺
 
Back
Top Bottom