Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

Mtoto wangu na wazazi wangu espec Baba yangu.sitakufa Hadi nilisimamishe jina la Baba yangu kwa ukubwa wake.najua ananiona na ananifurahia
Ikawe kheri na mwenyezi Mungu akakutimizie hitaji lako mkuu.
 
Huwa ninachagua kufanya na kuishi vile ambavyo naona ninaridhika,ninafurahi,ninakuwa na amani na tumaini jipya kwamba mimi sio wa kwanza na sitokuwa wa mwisho kupitia magumu.
Jipe Moyo na Mwenyezi Mungu hamwachi anayemwomba mara zote.
 
Wasalamu wakuu!

Niwape hongera na pole kwa hustling za kila siku za kuhakikisha wewe binafsi na watu wako wa karibu wanafurahia juhudi zako.

Nimeleta andiko hili najua si mara ya kwanza yaweza kuwa lilishaandikwa kwa namna nyingi na wadau humu jukwani.

Hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, najua kwa namna moja ama nyingine kila mtu ana mbinu ama story ambayo ilimpa nguvu na hali kubwa ya kupambana hadi alipofikia kujiweka katika nafasi nzuri ya kujihakikishia ameupunguza ugumu wa maisha kwa kiasi kikubwa.

Hali hii ya ugumu wa maisha imewafanya watu wengi waone hata suala la kuoa na kuwa na familia ni anasa.

Sasa enyi ma-malejendi na wakongwe tupeni mbinu ama story zilizowafanya muupunguze huu ugumu. Jambo au story yako inaweza kuwa silaha kubwa ya kumtoa mtu mwingine sehemu moja kwenda nyingine.

Asanteni sana na karibuni 🫶
Mimba daaah kwa yule binti
 
I'm the person that everyone replace me after a while
 
I'm living in the bleak midwinter
Sorry for everything you're passing broh, otherwise try to engage yourself with friends if possible and be happy with life you're living things wil go well one time 🙏
 
Sorry for everything you're passing broh, otherwise try to engage yourself with friends if possible and be happy with life you're living things wil go well one time 🙏
I really enjoying being alone sina marafiki na sitaki tena kuwajua watu niliokuwa nafahamiana nao hapo zamani
 
I really enjoying being alone sina marafiki na sitaki tena kuwajua watu niliokuwa nafahamiana nao hapo zamani
Pole sana asee! Hobbies zako ni nini?
 
Back
Top Bottom