Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapitwa na mengiSikumbuki mara ya mwisho kusikiliza redio ni lini.
Kuna Radio station tunayo kwetu huku makambako inaitwa" Ice" fm makambako ni madudu mtupu
Sikumbuki mara ya mwisho kusikiliza redio ni lini.
ma conspiracy theory ya ajabu ajabu wanayasoma kama vile ni fact vile, wajinga sana, asilimia kubwa ya wasikilizaji wao wanawaamini sababu ni vijana mambumbumbu😂😂😂😂 Mfano ishu ya ufreemason, inakeraga
Ase kuna radio Inaitwa Kill Fm. Ipo Kilimanjaro haijasambaa sana. Watangazaji wa ajab ajabu. Kelele kelele mingi. Hasa kuna kipindi kinaendeshwa na chali mmoja wa kiume ila tabia za kike. Radio inakua na kipindi cha mipasho ni redio hiyo kweli. Afu mtangazaji mwanaume
HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUTANGAZA CONSPIRACY THEORIES KWENYE MEDIA MKUUma conspiracy theory ya ajabu ajabu wanayasoma kama vile ni fact vile, wajinga sana, asilimia kubwa ya wasikilizaji wao wanawaamini sababu ni vijana mambumbumbu
Ratiba yangu kusikiliza Redio.
Jtatu - Ijumaa: Saa 12 ASB BBC kupitia RFA
Saa 12:30 Magazeti RFA
Saa 01- 10:30 Kazini
Saa 11 jioni Jahazi Clouds
Saa 03 Usk Sport Clouds
Jmosi: Saa 12 ASB BBC RFA
Saa 12:30 magazeti RFA
Saa 09 mch Terminal cloud
Saa 03usk Sport Clouds
Jpili: Saa 12: 30 Magazeti RFA
Saa 04: Sitosahau RFA
Saa 08: Njiapanda
Pia napendelea vipindi kama Bolingo time ya RFA ilikuwa tamu sana wakati wa Zuberi Msabaha.Pamoja na kile cha jmosi cha Dakote wa Clouds.
Ila Redio punguzeni kurudia rudia miziki kwani kuna akiba ya nyimbo nzuri nyingi kama mchanga wa bahari.
RADIO HAIKWEPEKI MKUU. HASA SISI WENYE MAGARI SIYO KILA MUDA UNASIKILIZA MUSIC. RADIO KAMA CLOUDS ASILIMIA 90 NI MATANGAZO TU.
SAWA SAWA MKUU! tatizo matangazo yanafikia level yanakera kama clouds na hiyo fiesta yaani mpaka watangazaji hawawazi kingine kila sekunde ni fiesta kila dakika ni fiesta. wakikaahapo studio ni fiesta tu. rais alisema kuwa anaiskiliza clouds pale magogoni nadhani anakereka kuliko hata mimi.Sikiliza isiyo na matangazo bro
.........Redio na matangazo ni sawa na gari na mafuta mzee.