Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuisikiliza inayokufaa inakufunga kutoa mapungufu ya radio nyingine?Siku hizi kuna radio zaidi ya 100 kwanini usiturn unayoona inakufaa?
Radio ina vitu vitatu muhimu,( habari,elimu,burudani) kimoja kikizidi basi shida ishaanzaMnapata wapi muda wa kuwasikiliza hao vilaza.. Mi nasikiliza muziki tu wakianza porojo zao nahama station maana hamna kipya watakachoniambia..
Kwa sasa nasikiliza sana Choice Fm maana hawa ni pini tu mwendo mmoja!!
Ase kuna radio Inaitwa Kill Fm. Ipo Kilimanjaro haijasambaa sana. Watangazaji wa ajab ajabu. Kelele kelele mingi. Hasa kuna kipindi kinaendeshwa na chali mmoja wa kiume ila tabia za kike. Radio inakua na kipindi cha mipasho ni redio hiyo kweli. Afu mtangazaji mwanaume
Vipi kuna ma DJ's wakali wanaopiga ngoma na mikito heavy? Bro!!Mnapata wapi muda wa kuwasikiliza hao vilaza.. Mi nasikiliza muziki tu wakianza porojo zao nahama station maana hamna kipya watakachoniambia..
Kwa sasa nasikiliza sana Choice Fm maana hawa ni pini tu mwendo mmoja!!
Hili nimekua nikiliskia sana hasa CloudsWakichapia sasa ndo inakua mada mpya kelele ambazo hazina maana wakiaga utazani watoto wa chekechekea wameruhusiwa kwenda nyumbani
Hahahaaaa jamaa juzi kati tukawa tunabishana nasema ni mwanamke kumbe ni dume anaitwa Arnold Moshi .. #ItakuasioridhikiyuleAse kuna radio Inaitwa Kill Fm. Ipo Kilimanjaro haijasambaa sana. Watangazaji wa ajab ajabu. Kelele kelele mingi. Hasa kuna kipindi kinaendeshwa na chali mmoja wa kiume ila tabia za kike. Radio inakua na kipindi cha mipasho ni redio hiyo kweli. Afu mtangazaji mwanaume
mkuu unalifuatilia hilo liboya chee,Yule jamaa mwanzon nlijua, James delicious
Unakuta binti mdogo na wala hajaolewa eti anaelezea changamoto za ndoa na mahusiano....Watangazaji wengi wasio na fani katika kazi ya utangazaji wengi hawana weledi hivyo vipindi vingi vya redio vinakosa mvuto kwa wasikilizaji
Wewe umelazimishwa kupitia na ku comment huu uzi??Kwani mumelazimishwa kusikiliza hizo redio?
SAWA SAWA MKUU! tatizo matangazo yanafikia level yanakera kama clouds na hiyo fiesta yaani mpaka watangazaji hawawazi kingine kila sekunde ni fiesta kila dakika ni fiesta. wakikaahapo studio ni fiesta tu. rais alisema kuwa anaiskiliza clouds pale magogoni nadhani anakereka kuliko hata mimi.
Sijalazimishwa ndio maana silalamiki.Wewe umelazimishwa kupitia na ku comment huu uzi??
Tuko wengi kumbeMimi radio yangu ni JF