Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

Nasikitika sana mwanaume kamili kutangaza vipindi vya mipasho, kweli ni mbaya wakuu RFA saa sita asee yule mshikaji dah
 
Mzizi wa hayo yote ni WAMILIKI wa vyombo hivi.

WAMILIKI wanapunguza gharama kwa kukwepa kuajili walio na sifa. Hawa wasio na sifa wapo tayari kufanya kazi katika mazingira yyte tena kwa maslahi kidogo.

WAMILIKI kutowekeza kwenye utafiti. Habari nzuri inahitaji utafiti wa kutosha. Utafiti unahitaji pesa. Sio wamiliki wengi wapo tayari kwa hili. Matokeo yake watangazaji wanaishia kuongelea watu (badala ya issues) na umbea mwingi wa huko fesibuku, instagram n.k. Ni kwa sababu hawana cha kuongea ila wanalazimika kwa sababu lazima kipindi kiende hewani.
 
Mzizi wa hayo yote ni WAMILIKI wa vyombo hivi.

WAMILIKI wanapunguza gharama kwa kukwepa kuajili walio na sifa. Hawa wasio na sifa wapo tayari kufanya kazi katika mazingira yyte tena kwa maslahi kidogo.

WAMILIKI kutowekeza kwenye utafiti. Habari nzuri inahitaji utafiti wa kutosha. Utafiti unahitaji pesa. Sio wamiliki wengi wapo tayari kwa hili. Matokeo yake watangazaji wanaishia kuongelea watu (badala ya issues) na umbea mwingi wa huko fesibuku, instagram n.k. Ni kwa sababu hawana cha kuongea ila wanalazimika kwa sababu lazima kipindi kiende hewani.
ASANTE MKUU KWA MAELEZO YAKO. UMELIONA TATIZO KWA MAPANA YAKE. RADIO ZA TANZANIA ZINABORONGA HASWA. NA NINA IMANI HII THREAD ITAWAFIKIA.
 
Vipindi vingi vya redio hasa vile vya mijadala ni TAKATAKA kabisa, hakuna hoja ni makelele na mayowe tuu, watangazaji hawaulizi maswali ya akili yani sijui huko vyuoni wanaenda kufundishwa nini, haya swala lingine ni kuchukua wasanii na kuwafanya watangazaji wa vipindi huo ndo upupu mwingine, mwisho ni hili janga la wanaume kutangaza vipindi vya mipasho kama yule wa radio free asee ni tatizo unaezasema jamaa siyo riziki
Hiyo ndio bongo, tunakwama wapi
 
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group

Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.

Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.

Njia pekee ya kuvutia watu kwenye tamasha sio kuharibu vipindi vyenu ni kuwork smart tu. na watangazaji walivyo wavivu nao kila dakika wanazungumzia hiyo show as if ni sherehe ya kitaifa.

Lazima mtambue kuwa sio wote wanaosikiliza hiyo radio wanayo access ya kufika kwenye hilo tamasha hasa sisi wa mikoani.

Mfano mimi huku rombo hilo tangazo la fiesta na hayo maelezo ya fiesta ni non sense hayana faida yoyote kwangu zaidi ni kero tu. Mimi ninachokihitaji ni taarifa. nahitaji information.

Pili:

View attachment 1280875

Radio one (IPP MEDIA) na studio yao ina muonekano wa ovyo sana. studio haina mvuto kabisa. Bi Joyce kama mkuu wa superbrand mnapaswa kuboresha hii studio iwe na muonekano wa kisasa ili muweze kustream online kisasa.

Atleast iwe kama ya Wasafi Katika Radio zenye on air studio kali Tanzania, probably wasafi fm ni namba moja Tanzania.

What future hold for radio?
Modern society is image-obsessed, so radio can maintain its individuality by not following suit.

From the very beginning, the advantage of radio has been its ability to boost the imagination via the content being broadcast.

Adding images to its content could make it lose its charm and scar the future identity of radio itself.


Umezungumzia suala la Matangazo na Uchakavu wa studio

1. Matangazo
kila tangazo linaloruka redioni lina maana yake na lengo ni kufikisha ujumbe/habari kwa audience, audience ataangalia unamfaa au haumfai aachane nao,
yapo matangazo yanayolipiwa na mengine ni ya redio husika, hayo ni matangazo ya muda tu ambayo lengo lake ni kuutarifu uuma kuhusiana na kinachotokea tar tajwa baada ya hapo hutoyasikia tena
uamuzi ni wako huyapendi badirisha redio sikiliza redio zingine

2. Uchakavu wa studio,
studio nyingi kwa sasa ni nzuri wengi wamefocus kurusha vipindi live lakini pia kujari kwa mmiliki wa redio kubadirisha mazingira,
IPP Unaona pako hivo, ukarabati unahitaji bajeti, kama bajeti haipo wafanyaje..?, kama Matangazo pesa inaishia kwenye gharama za umeme na mshahara pesa watoe wapi..?, kama lengo lao sio kwenda na Digital content..?
 
Kuna kile kipindi cha Block 89 cha Wasafi Fm, kuna mdada flani hiv mweusi anajiita Calipso, yani yeye kila siku ni ubishani tu na watangazaji wenzie au hata akiwa katika interview na msanii. Kadri siku zinavyoenda kile kipindi kinazidi kupoteza ubora wake.
 
Niliacha kusikiliza redio siku nyingi sana, na hata nikijaribu kusikiliza baada ya kama miezi sita, sigundui kama kuna kitu namiss kwa kutosikiliza redio.

Tatizo kubwa naloliona ni vizazi vipya visivyojua upuuzi unaotangazwa kuwa ni sumu akilini mwao, ukosefu wa weredi ni anguko kubwa sana kwa tasnia husika. Kadri tunavyo-promote udaku, umbea, 'ubuyu' nk ndivyo tunavyopoteza kizàzi cha jamii fikirishi.
 
Naboeka kwa radio free africa kutopatika online kabisa wanazingua eti utasikia inasikika africa nzima sasa sijui kiaje
 
Lugha ni tatizo kubwa watangazaji hawanolewi kabla ya kusogea kwenye microphone kama ilivyokuwa kwa RTD enzi zake kiswahili fasaha.

Uko wapi Dada Christine Chakunegela? Huenda ndiwe pekee uliyebakia na kiswahili fasaha kwa sasa.
 
Redio nyingi zimejaa watangazaji wasioelimika ingawa inaweza kuwa shule walienda . Si ajabu nasikiliza zaidi taarifa za BBC au DW pale wanapokuwa wameunganishwa basi.
 
MKUU hebu niambie ni radio ipi inayofaa


Mbona ni nyingi tuu wewe tuu unapenda nini mbona mimi siijui Radio ya TBC sijui huwa inaitwa je wala TV yake na hutakaa unisikie nikilalamika TIBISII wala nini naboeka tuu ukienda kwenye huduma za jamii ndio shida ila wala kwangu ni mwiko kabisa hata kama wanaonyesha mpira wa kiwango cha HD siiwashi ng'ooo
 
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group

Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.

Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.

Njia pekee ya kuvutia watu kwenye tamasha sio kuharibu vipindi vyenu ni kuwork smart tu. na watangazaji walivyo wavivu nao kila dakika wanazungumzia hiyo show as if ni sherehe ya kitaifa.

Lazima mtambue kuwa sio wote wanaosikiliza hiyo radio wanayo access ya kufika kwenye hilo tamasha hasa sisi wa mikoani.

Mfano mimi huku rombo hilo tangazo la fiesta na hayo maelezo ya fiesta ni non sense hayana faida yoyote kwangu zaidi ni kero tu. Mimi ninachokihitaji ni taarifa. nahitaji information.

Pili:

View attachment 1280875

Radio one (IPP MEDIA) na studio yao ina muonekano wa ovyo sana. studio haina mvuto kabisa. Bi Joyce kama mkuu wa superbrand mnapaswa kuboresha hii studio iwe na muonekano wa kisasa ili muweze kustream online kisasa.

Atleast iwe kama ya Wasafi Katika Radio zenye on air studio kali Tanzania, probably wasafi fm ni namba moja Tanzania.

What future hold for radio?
Modern society is image-obsessed, so radio can maintain its individuality by not following suit.

From the very beginning, the advantage of radio has been its ability to boost the imagination via the content being broadcast.

Adding images to its content could make it lose its charm and scar the future identity of radio itself.
Hayo matangazo ya biashara watu huwa hawasikilizi wanabadili station nawaonea huruma wanaopeleka matangazo yao redioni hasa clouds fm
 
Kuna redio mbeya inaitwa dream FM wana kipindi cha michezo eti Massa matatu yaani kama kweli wangekuwa serious hata nusu saa hawamalizi muda mwingi ni ujinga mtupu eti kuna wachambuzi wa mpira yani wana upeo mdogo vibaya sana jambo moja kila mchambuzi anaongea nusu saa wako kama wanne kujitia kuingiza maneno ya kiingereza wakati hawakijui kabisa,lahaja zao mbaya yaani ni takataka tupu
 
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group

Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.

Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.

Njia pekee ya kuvutia watu kwenye tamasha sio kuharibu vipindi vyenu ni kuwork smart tu. na watangazaji walivyo wavivu nao kila dakika wanazungumzia hiyo show as if ni sherehe ya kitaifa.

Lazima mtambue kuwa sio wote wanaosikiliza hiyo radio wanayo access ya kufika kwenye hilo tamasha hasa sisi wa mikoani.

Mfano mimi huku rombo hilo tangazo la fiesta na hayo maelezo ya fiesta ni non sense hayana faida yoyote kwangu zaidi ni kero tu. Mimi ninachokihitaji ni taarifa. nahitaji information.

Pili:

View attachment 1280875

Radio one (IPP MEDIA) na studio yao ina muonekano wa ovyo sana. studio haina mvuto kabisa. Bi Joyce kama mkuu wa superbrand mnapaswa kuboresha hii studio iwe na muonekano wa kisasa ili muweze kustream online kisasa.

Atleast iwe kama ya Wasafi Katika Radio zenye on air studio kali Tanzania, probably wasafi fm ni namba moja Tanzania.

What future hold for radio?
Modern society is image-obsessed, so radio can maintain its individuality by not following suit.

From the very beginning, the advantage of radio has been its ability to boost the imagination via the content being broadcast.

Adding images to its content could make it lose its charm and scar the future identity of radio itself.
TBC je?????
 
Back
Top Bottom