Ni jambo la hekima sana kumweka wazi bajeti yako kwenye mtoko wa date lasvyo umempa tiketi ya kuagiza vinywaji ghali na kuleta marafiki zake, n.k.

Ni jambo la hekima sana kumweka wazi bajeti yako kwenye mtoko wa date lasvyo umempa tiketi ya kuagiza vinywaji ghali na kuleta marafiki zake, n.k.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1730639878246.png


Hii ni muhimu zaidi kwetu wenye vipato vya kawaida.

Sio jambo la aibu hata kidogo wala sio urijali wala ujanja kwenda date bila kumpanga mapema kuhusana na bajeti. Ukishindwa kujipanga jiandae kupata aibu, kuharibu bajeti yako, n.k.

Kumjuza bajeti yako itakusaidia mapema kujua kama yupo nje ya ligi / level zako, nidhamu yake kwenye pesa, n.k.

Unaenda date bila plan yoyote, mfukoni una kilo ukajitutumia ita cover kila kitu, Kufika huko trailer inaanza anaagiza kinywaji ghali cha elf 70, kijasho kinakutoka bado hajaagiza msosi, Date ishaharibika kwasababu akili yote ipo kwenye bili.

Unaenda date bila plan yoyote, unamkuta kafika na kamati yake ya watu wawili, hawajaagiza chochote wanakusubiri wewe usimamie kila kitu, dakika 2 hazijaisha wameanza kuagiza mbuzi choma, savannah, lobsters, n.k. yani hadi vingine wanaweka kwenye pochi, ki laki 1 na nusu ulichobeba kinapigwa mtama ndani ya dakika chache sana.
 
Sio jambo la aibu hata kidogo wala sio urijali wala ujanja kwenda date bila **** taarifa mwenzako juu ya bajeti.

Hii itakusaidia mapema kujua kama yupo nje ya ligi / level zako, nidhamu yake kwenye pesa, n.k. ni muhimu sana hii.

Unaenda date bila plan yoyote, mfukoni una kilo ukajitutumia ita cover kila kitu, Kufika huko trailer inaanza anaagiza kinywaji ghali cha elf 70, kijasho kinakutoka hapo anaagiza vyakula vya bei mbaya mno, Lobster elf 50 na kama muwajuavyo huwa wanaonja tu.

Wengine wanafika na kamati zao, hawa waogope sana, type hizo marafiki zao huwa wanaagiza kwa kukomoa, kila wanachoagiza unahisi kupumua kifo.
Urijali ni kumpiga marufuku kuja na rafiki zake unless sio date. You are dating her si rafiki zake, chora mstari mapema ataheshimu or atafute wa aina hiyo
 
Hii ni muhimu zaidi kwetu wenye vipato vya kawaida.

Sio jambo la aibu hata kidogo wala sio urijali wala ujanja kwenda date bila kumpanga mapema kuhusana na bajeti.

Hii itakusaidia mapema kujua kama yupo nje ya ligi / level zako, nidhamu yake kwenye pesa, n.k. ni muhimu sana hii.

Unaenda date bila plan yoyote, mfukoni una kilo ukajitutumia ita cover kila kitu, Kufika huko trailer inaanza anaagiza kinywaji ghali cha elf 70, kijasho kinakutoka hapo anaagiza vyakula vya bei mbaya mno, Lobster elf 50 na kama muwajuavyo huwa wanaonja tu.

Wengine wanafika na kamati zao, hawa waogope sana, type hizo marafiki zao huwa wanaagiza kwa kukomoa, kila wanachoagiza unahisi kupumua kifo.
Kwakweli itasaidia kuepukana na aibu zinazoweza kuepukika
 
Ujinga; mwanamke nayetoka naye hawezi kufanya hayo unayosema, na akiteleza akafanya hayo wala Hakuna shida, nitagharamia na kumshukuru Mungu kwa kumjua mapema!
Ni vema kujipanga mapema, if you fail to plan you plan to fail
 
Kwa nini kujichosha na Sterehe ambazo hazina maana kama bado unajitafuta ? Fanya mambo kama hayo ukiwa financially stable,,,,mnakuja kutia aibu kisa ujinga na upuuzi
 
Ni vema kujipanga mapema, if you fail to plan you plan to fail

I need not to plan anything, hawezi spend zaidi ya 200,000/- ?????? Ila Kama una 10,000 mfukoni mwaka Kama balance yako, hell yeah, lazima ujipange
 
Back
Top Bottom