sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto kujifunza.
Bado PhD kutoka university of dar es salaam na sanamu lake.