Ni jambo la kufurahisha Diamond Platnumz kuingizwa kwenye mtaala wa elimu ya Tanzania. Bado kupewa PhD ya heshima sasa

Ni jambo la kufurahisha Diamond Platnumz kuingizwa kwenye mtaala wa elimu ya Tanzania. Bado kupewa PhD ya heshima sasa

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
CamScanner 01-03-2025 07.08.jpg


Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto kujifunza.

Bado PhD kutoka university of dar es salaam na sanamu lake.
 
View attachment 3191199

Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto kujifunza.

Bado PhD kutoka university of dar es salaam na sanamu lake.
Unafikiri PhD inapatina kiurahisi hivyo?
 
Huwezi kuta wenzetu wanawafundisha haya watoto wao. Unashangaa mtoto wa miaka 15 anapaisha ndege, anatengeneza kitu cha maana, huku kwetu kuna watu wanawapigia debe watu wapewe PhD za heshima. Where's the future of our countries!?
Nchi gani hiyo mtoto wa miaka 15 anapaisha ndege?

Kwa ufahamu wangu duniani kote chombo cha moto anaruhusiwa mtu mwenye umri kuanzia 18 yrs.
 
Huwezi kuta wenzetu wanawafundisha haya watoto wao. Unashangaa mtoto wa miaka 15 anapaisha ndege, anatengeneza kitu cha maana, huku kwetu kuna watu wanawapigia debe watu wapewe PhD za heshima. Where's the future of our countries!?

Toa maoni ya nin kifanyike, kulalamika na kukosoa ni jambo jepesi muno.
 
G
Nchi gani hiyo mtoto wa miaka 15 anapaisha ndege?

Kwa ufahamu wangu duniani kote chombo cha moto anaruhusiwa mtu mwenye umri kuanzia 18 yrs.
Google, Kimberly Anyadike rubani wa kike aliyepaisha ndege akiwa na umri mdogo zaidi (15). Tafuta pia story ya kijana aliyetengeneza saa akiwa mdogo. Wenzetu wanawatengeneza wabobevu kwenye masuala ya maana
 
Kama kweli wamezingua mtu ameenda kucheck Muvi Kwa Didy Leo anakuwa kioo Cha Jamii. Mashoga na Walawiti watakuwa wamejaa uko wizarani au hawana Habari na mambo ya ulimwengu wa Leo.

Hiyo mwingine juzi tu hapa anatunza mashoga kwenye party .

Sina shida na huyo Mh. Waziri

Bora hata wangeweka Mrisho Mpoto. Lady JD
 
Si kosa Watoto wakisoma wanaochokiona na chenye uhalisia. Serikali sio wajinga kiasi hiko na kuna watu wana akili kuzidi wewe.

Japo sijui jina la kitabu but nina uhakika wasanii waliotajwa hapo ni mifano mizuri.

Maana maisha wanayoishi wao ni bora kuliko yako. Najua kinachokusumbua ni “Mental Slavery” maana ulitamani atajwe Beyonce au Lil Wyane.
 
G

Google, Kimberly Anyadike rubani wa kike aliyepaisha ndege akiwa na umri mdogo zaidi (15). Tafuta pia story ya kijana aliyetengeneza saa akiwa mdogo. Wenzetu wanawatengeneza wabobevu kwenye masuala ya maana
Kama ni hao wa namna hiyo mbona hata Tanzania wapo wengi sana talented pupils.

Nimekwambia nitajie primary school yoyote duniani inayofundisha watoto kurusha ndege?
 
Kama kweli wamezingua mtu ameenda kucheck Muvi Kwa Didy Leo anakuwa kioo Cha Jamii. Mashoga na Walawiti watakuwa wamejaa uko wizarani au hawana Habari na mambo ya ulimwengu wa Leo.

Hiyo mwingine juzi tu hapa anatunza mashoga kwenye party .

Sina shida na huyo Mh. Waziri

Bora hata wangeweka Mrisho Mpoto. Lady JD
Mtoto wako anamsoma Diamond Platnumz aka Simba kama mfano wa mwanamuziki mwenye mafanikio. Either unapenda au haupendi.
 
Mnajua maana ya mtaala maudhui yake yanavyotungwa? Diamond kuingizwa humo ni angle moja tu ambayo mtunzi wa kitabu hicha aliamua kumuweka kwenye kitabu chake cha civics. Vitabu viko vingi na vingine havina habari za diamond katika contents zake. Watunzi wa vitabu hutengeneza maudhui mbalimbali ya somo fulani kulingana na mada za kufundishia katika mtaala wa somo fulani. Mtaala ni jumla ya mambo yote yaliyopangwa kufundishwa kwa ngazi fulani ya elimu. Mtaala una muhtasari wa masomo kwa kila darasa, na muhtasari wa masomo una mada za kufundishia
 
Back
Top Bottom