Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Ni jambo zuri ila tujiulize hivi vitu:
1. Unamfundishaje mtoto mambo ya maadili (moral) kwa kutumia mifano ya watu ambao mitaa na wazazi wa wanafunzi hawa wanajua kabsa kuwa ni mifano ya ovyo. Nasibu ni know womaniser wala sio suala la kificho, hata watoto wanajua kuwa amezaa na Zari, pamoja na Mobetto.
2. Kwanini tunakubali kubadilisha sehemu chache tena ambazo hazina faida, unamuweka Diamondd ili iweje, je tumeshinda kuweka kina Mbaraka Mwishehe, au kina Marijani? Tunamuweka kweli MwanaFA!? Kwanini asiwe Professor J?!
Tanganyika bhana 😃
1. Unamfundishaje mtoto mambo ya maadili (moral) kwa kutumia mifano ya watu ambao mitaa na wazazi wa wanafunzi hawa wanajua kabsa kuwa ni mifano ya ovyo. Nasibu ni know womaniser wala sio suala la kificho, hata watoto wanajua kuwa amezaa na Zari, pamoja na Mobetto.
2. Kwanini tunakubali kubadilisha sehemu chache tena ambazo hazina faida, unamuweka Diamondd ili iweje, je tumeshinda kuweka kina Mbaraka Mwishehe, au kina Marijani? Tunamuweka kweli MwanaFA!? Kwanini asiwe Professor J?!
Tanganyika bhana 😃