Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu

Mama sio lazima afanye kila kitu ndio maana anateua mawaziri ili wamsaidie. Mathalani hili suala la DED lipo chini ya TAMISEMI lakini waziri yupo kimya hata kukemea hajakemea au naye anasubiri maagizo kutoka juu?
Huo u-DED wenyewe umekuwa wa kugawana kama njugu kwa ndugu, jamaa na marafiki, bila shaka kuna kigugumizi cha kuchukua hatua kinahusika hapo....angekuwa jaffo ashamaliza mchezo hapo.
 
Huko ni kada wa ccm,istoshe ccm wote ni majambazi sugu
 
Keshasimamishwa kazi Leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…