Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Haijalishi nani atashinda vita, hii ni Blood sacrifice to Baal so sad binadamu hawaoni ila watu wanajua na wanafurahia ☠️💀
 
Haya majitu majinga sana. Wanafurahia kuua tu wenzao kigaidi kigaidi yenyewee yakiguswa tu kidogo kilo dunia nzima tunaonewa tunaonewa,wakati huo huo ukorofi yanaanzisha yenyewe. Sasa Israel alivyo yajulia anayatwanga kimya kimya na anampoteza mmoja mmoja anaejifanya kiongozi wa nijama dhidi ya Israel.
 
Wayahudi ni watu roho mbaya sana kwangu ndani ya miaka 16 iliyopita wameivamia Gaza kijeshi mara 3. Hii ni mara ya kwanza wameyajua maumivu ya occupation of the palestinians land,mwisho wa siku vita hainaga mshindi . Mimi sio muislamu 😁😁😂😅😅😂 wafia dini msije kunishambulia.
 
Where is Allah and mudi? Mnawamobilize hao masenge wavamie na kuua wateule sasa hivi mmejificha. Wadondesheeni basi hata mana na maji ya mvua.

Bladifaken
It is wise kutofautisha mzaha wa kiimani na mambo ya kihalifu hususan ya vita.

Mungu hatumi watu wapigane. Wanadamu wanapigana kwa sababu ya kukosa hekima.

Pls be wise mkuu
 
Ni jana tu wapalestina walishangilia na kufurahi uvamizi kwenye ardhi teule na kuua wateule na wengine kuwateka.

Sasa hivi ni vilio husikii tena nderemo. Licha ya vipondo vimekatiwa umeme na maji vimebaki kulialia. Allah naye kala kona na kuzama chaka.

Safi sana Benjamin Netanyau. Settle the score hata vitoto vyao viteketeze they're terror bred future terrorists. Waijitakia wenyewe. Hakikisha kila mteule mmoja aliyeuwawa mnalipiza kwa kuua magaidi 1000. Yote ni magaidi tuu kwaanzia mitoto, vijana hadi mizee. Pelekeni kilio.

No mercy

View attachment 2775237View attachment 2775238
Hakuna amani kwa wabaya. Kichapo kiendelee mpaka magaidi yawe majivu. Mafuriko yamewafurikia wenyewe
 
Mimi ni mkristu ila we jamaa hujui unachoandika.

Eiza huna akili au ni katoto ndio unabalehe.
Sema huo ni mtazamo wake labda ana experience na Mungu wa Waislamu. Mimi binafsi siwezi semea kwa dini nisiyoijua.
 
It is wise kutofautisha mzaha wa kiimani na mambo ya kihalifu hususan ya vita.

Mungu hatumi watu wapigane. Wanadamu wanapigana kwa sababu ya kukosa hekima.

Pls be wise mkuu
Debe tupu. Mungu aliwaambia kina Joshua ili waweze kumiliki na kutawala hiyo nchi ya ahadi lazima wavipange vita hiyo ipo tangu zamani na watoto wa Yakobo wanalijua hilo na makobazi mnalijua hilo. Moto mliouchokoza lazima uwalambe makumi elfu.
 
Tatizo ni Iran, Iran ndio mfadhili mkubwa wa hayo magenge ya kigaidi ya kipalestina sasa tuone kama watawasaidia kwenye hii kiama inayokuja.
 
Ujitambui sasa hao raia wasio na silaha Wana hatia gani wakati Sio waliorusha bomu
Ninyi mlirushia rocket wanajeshi, mliua raia na kuwateka moto wa watoto wa Yakobo lazima uwalambe Wafilisti nyote.
 
Kushabikia vita ni ujinga, sisi wakatoliki hatuna taifa teuli hebu tufikirie roho za watu wasio na hatia wanao kufa Kosa lao ni kutetea ardhi yao.
 
Ajuza tulia ulee wajukuu.... Kauli zako ni Kama za madangulo ya viwanja vya fisi....
Nawashangaa watu mnaotemewa mpaka mate kwa ukristo wenu kuwashangalia watu wanaowaona kama mbwa.
 
Hakutakuwa na peace duniani kama bado kuna watu wanaonewa.

Suluhisho ni wote kuwa Waislam tu.
Eti suluhisho ni wote kuwa waislamu.hii ni akili kweli?yaani wote tuwe kwenye dini ya uongo kama hiyo?angalia maeneo mengi yenye matatizo ni ya waislamu.
 
Back
Top Bottom