Ni JF Member gani ambaye hutamani Kufa kabla hujamuona au kumfahamu mubashara?

Ni JF Member gani ambaye hutamani Kufa kabla hujamuona au kumfahamu mubashara?

MIMI NAPENDA USINIKUBALI HARAKA. BASI ACHA NIANZE KUKUTONGOZA KAMA WEWE UMENISHINDWA.
Naskia haupendi mwandiko mkubwa.

Hicho ni kipimo [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mi sipendi danadana kama ndio iwe ndio kama hapana iwe hapana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo umeandika mkubwa ili nikukimbie....imekula kwako bado nipo na wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daby ila unakuja na vinywaji na chakula chenu
[emoji3][emoji3], sijajua nani kati yangu na Khantwe amekufanya ufanye maamuzi magumu hivyo.

Mi sipendi danadana kama ndio iwe ndio kama hapana iwe hapana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo umeandika mkubwa ili nikukimbie....imekula kwako bado nipo na wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha, halafu kila siku nasahau... Khantwe maana yake ni nin?
 
Cephalocaudo

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Labda le supa bilionea le baharia le maprosoo mutu ya watu le mutuz a.k.a willy mapenzi
 
Mmmh!!!! Eeeh mungu kabla sijafa naomba niwe tayari nimejiaanda kufika kwenye kiti cha enzi..
 
Back
Top Bottom