Kama ukiweza fanya kama mimi itakusaidia sana.
Nilikuwa na mdada flani wa babati mtto kakamilika kila kitu, wenzangu wa shy na mwnza mnajua namna tunavyo data na piss nyeupe... Tumeishi miez 4 safi bila chokochoko kwa mapenzi ya nguvu sana. tulkuwa tunasoma chuo xx so ikafika time ya likizo, kimbembe kikaanzia huko baada ya kuondoka, sometime nikimtumia txt hajib aknijib short dizain kama mtu ambae namsumbua, simu zangu ndo zikawa hazipokelewi kwa madai home anabanwa sana na anakuwa busy. Rfk ake mmoja nilikuwa nae cross akanitonya kuwa kule yuko busy na mmpenz wake so natafutiwa taiz la kupigwa tukio. Asee kitu nilifanya sikuwahi mtafuta wa kujib chchte toka kwake. Kuna time alikuwa ananichek kinafki na kujipigsha simu me nazicheck2 siku zimesonga mpka time la kurudi chuo muhuni bado niko buyu tumefika chuo fresh bado nimekaza,,, zimepitaka kama one week masomo bado hayajachangamka daily ananicheck ili tuonane niko zangu buyu final anakuja niona niko na dem mwingine tena mkali zaidi yake asee alijiona fala sana coz kwa mapenz tuliyokuwa nayo chuo yalkuwa moto sana asinge weza amini kama ningempotezea na vile nilkuwa mnyonge kwake ila hakuamini nashkuru aibu zilikiwa kwake coz za chini naskia alikuwa anatamba kwa shoga zake kuwa siwez muacha(kanishika pabaya).
Mkaushie kbx haijalish unamkubari kiasi gani kabla hajakulipua kwa tukio.
Sent from my SH-02J using
JamiiForums mobile app