Azul
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 647
- 1,349
Miaka miwili wanaachana tu, hahaha hatari sanaKabisa. Sio maigizo yasiyoisha. Mnaachana mwaka mzima sababu hampo straight kuwa mnaachana.
Kuna watu walianza kuachana January 2019 mpaka leo mwanaume ndo anashtuka baada ya kusikia ambaye mpaka leo bado anaachana naye anaolewa. Maumivu yameanza upya kama kaachwa leo.