Ni jibu gani zuri kwa mtu anayekutumia msg ya kukuacha kwa dharau?

We unashindana na mwanamke atakutesa sana.

Mi nilitumiwa sms hii,

"Kuanzia leo usinitafute wala usinipigie simu na namba yangu ifute "

Nikamuuliza kwa nini akajibu nimeamua tu
Kumbe alikuwa anataka kuolewa ila hakunambia
Nilikaa kimya alikuja kunitafuta baada ya miaka miwili ya ndoa akinisimulia mume wake, anavyomtesa na maisha ya ndoa yalivyo magumu sasa hivi yeye ndo ananiambia mi naringa maana simpi ushirikiano.
 
Afadhali wewe Mimi Kuna chura mmoja aliniacha kipindi kibaya ila mie nilichelewa kuusoma mchezo. Mwaka 2016 nilipatwa na matatizo ya kiafya, nikamfahamisha huyu mshirika wangu wa kitandani,akaniangalia kwa dharau akaniambia huu utakuwa ukimwi tu nenda kapime uanze kula dawa. Kesho yake nikaelekea hosp temeke kufanya checkup ya Tatizo linalonikabir, nikapewa ref kwenda muhimbili sababu vifaa vya kupima vilipata hitirafu. Basi kidume siku ya Pili asubuhi na mapema nikaelekea muhimbili,nikafuta taratibu zote nikapangiwa kuja kupima baada ya wiki moja, siku ilivyokaribia nikamjurisha huyu kiumbe akasema poa na nitakusindkiza, wakati naelekeha hosp nikampigia simu akasema yeye kashafika muhimbili, yaani msindikizaji kawahi kabla ya mgonjwa. Basi Mimi nilifika nikampigia tena simu nijue yuko Wap, Mara ananiambia yuko geti la kuingilia nilifika getini Mara nipo mapokezi nikifka mapokezi simuoon oh karibu na ward fulani Ina maana union au unanifanyia makusudi tu. Nikaona sio kesi nikamtumia SMS ya neno moja tu ASANTE. Basi mie nikapiga simu kwa ndugu na Jamaa niko sehemu gani,nikaingia maabara nikapimwa nikapewa majibu nikarudi home. Hiki kindezi kikanipigia simu usiku ili kujua hali yangu mie nikamjibu Asante,akaja maghetoni chochote akiniuliza na mJibu asante. Kwa mwendo ukawa huohuo akinicall au akini SMS mie namjibu Asante kisha napiga kimya, mwisho akakata mawasiliano na Mimi, baada ya miezi miwili a kapata ajari ya bodaboda yeye akiwa na basha wake, alivunjika miguu na mtu wake alipoteza maisha hapo hapo.cha kushangaza ananitangazia kwa watu mie mchawi nimemroga.
 
Hawa viumbe tunaishi nao basi tu ila wana matatizo sana.
 
Mimi nilipigwa chini kwa dharau sana 2015. Nilichofanya nilimpanga dem mmoja mkali sana ambae hata yeye alikuwa anamfahamu.

Nikamuuluza kwa msg yule manzi "una uhakika umeniacha?" Akanijibu ndio manake. Nikamjibu tuu nashkuru.

Then yule manzi niliyempanga tumzingue yule demu wangu baada ya kama masaa mawili ajamtumia msg ya wasap yule manzi akamwambia "naskia umeachana na ....... nilikuwa namtamani sana nashkuru umemuacha maana sasa nitakuwa nae free"

Huwezi amini yule manzi alimporomoshea matusi mazito sana. Then akanigeukia mm na kuniomba eti nisimzalilishe kwa kumchukua manzi yule coz watu wa mtaani kwao watamcheka.

Shortly yule manzi niliyempanga asee kumbe alikuwa ananipenda kweli na tulidumu kwenye mahusiano yasiyo rasmi sana kwa muda wa miaka miwili
 
Aisee, kama movie yaani.
 
mwanamke akiona anapendwa tu dharau zinakua nyingi
 
Kaa kimya mkuu ndio jibu zuri
 
Jibu zuri ni kukaa kimya.
 
Akituma msg ya dharau ya kukuacha. Usiijibu hiyo msg, jitahidi kadri uwezavyo kujizuia kuijibu. Then endelea na mambo yako.

Atabaki anajiuliza maswali mwenyewe tu huko.

Mtu yeyote mwenye nia ya dhati ya kukuumiza, usipoonesha kuumia, basi jua yeye huwa inamuuma zaidi.
 
Kidemu kimoja cha chuo kikanitumia Msg we Good father mi nawewe naona basi tuishie hapa hatuna future

Nikajibu “ weeee weee acha bwanaaa” alaf nikaweka emoji za kucheka mbele ya hiyo msg
Baada ya pale nika block namba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungemkaushia tuu sio kumtumia sms za kike
 
Reactions: THT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…