Ni jibu gani zuri kwa mtu anayekutumia msg ya kukuacha kwa dharau?

Miaka miwili wanaachana tu, hahaha hatari sana
 
Kaa Kimya Tulia, Usimpe Cash Hata Kumi Mbovu
Baadaye Utanishukuru, Anakuacha Haa
 
Kaka wacha nikufundishe kitu kwasisi ambao tumeoa michepuko inanguvu ila kuna muda ukichoka ndio basi tena....kwahiyo huyo achana naye.Akikuliza mbona umebadilika mwambie THIS IS AN OG CALL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…