balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Songea Boys hiyoAsangalwise mwambojoke _box 2.
Ndeka s ndeka. sitamusahau kwa uwezo wake kutunga na kuyasoma mashaili....Biharamulo sec( biseko)
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mbavu zanguKuchauka Bora Kupata. Nilisomanae O level huyu jamaa. Advance nikakutana na kichwa cha Nyanda za juu kinaitwa P...mbu,tukazoea kumuita Mr. P. Sasa kituko chake huyu jamaa alikuwa hataki jina lake likatishwe hasa na waalimu hivyo ilikuwa Mwl akija class na kuita Mr. P haitiki wala hanyanyuki na akiulizwa anamjibu Mwl hilo sio jina langu niite jina langu halisi wazazi wangu walionipa sio wajinga. Alikuwa na matata kweli kweli.
Haa[emoji12] jina la utoto la Mdogo wangu hilo Kiokotee now day ukimwita hvo mnagombana[emoji23]Nakumbuka kipindi tupo form five walikua wananiita kiokote au mtoto wa dawa