Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unateseka ukiwa wapi?
Ushauri tu, hayatusaidii nendeni PM. Hayo ya kuteseka unajifurahisha tu na kujifariji ila ujumbe umefika. Oneni aibu basi na hizo chats zenu. Endeleeni PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…