Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Hatushindani na kama huna akili na u Paka wa bar ni lako binafsi halituhusu ila nendeni PM.Mwenzio akili sina, naingia humu nikiwa bar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niunfollow usiwe unaona comments zangu, ila pm siendi
Kwa heshima tu mkuu nakushauri, nendeni PM.
Siwezi kuwa sehemu ya furaha/makwazo kwa kila mtu, jukwaa linaruhusu haya nayoyafanya. Ingekuwa ni jukwaa la siasa hapo sawa.Umejibu vizuri na kwa heshima sana mkuu. Much appreciation kwako mkuu. Nendeni mkachat PM usiku kucha ila hapa mnakwaza wengine.
inaonekana umelipenda[emoji1787]
Siwezi kuwa sehemu ya furaha/makwazo kwa kila mtu, jukwaa linaruhusu haya nayoyafanya. Ingekuwa ni jukwaa la siasa hapo sawa.
Umekuja kutuattack sio kushauri lakini hilo limeisha mkuu sio kila ushauri ni wakufuatwa au kuachwa.
Hatushindani na kama huna akili na u Paka wa bar ni lako binafsi halituhusu ila nendeni PM.
sitaki tena kukuita hilo jina, najiskia vibayaNachekaga sana nikikumbuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana nae, sio kila kitu ni cha kusoma humu
[emoji23] twende pm mwenye jukwaa lake kashasema
Kwanza situmiagi pm 😂🫠 “sio kila ushauri wa kufatwa” PM hatuendi
Mwanamke kutongozwa ni sunnah 😅Ili ukanitongoze? [emoji23][emoji23][emoji23]
Siendi ng’oo
Ukiona unakwazika na namna ya mtu anavyoishi humu na maudhui yake we fanya kumu Ignore usione mambo yake. Mbona ni simpo sana jimmygatete
Kwanza situmiagi pm [emoji23]
Mwanamke kutongozwa ni sunnah [emoji28]
Sijamtuma huyo usijeunganisha dots useme ni mpango wangu kubunu mbunu ili uje pm.
Sijamtuma 😂Utakuwa umemtuma kijanja [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakuja sitokuangusha, nitakubebea pepsi bigi yabaridi tuje tujipe pole ya kufukuzwa jukwaani 😂Achana naye jirani.
Vipi sasa kesho Sunday pilau day, utakuja??[emoji23][emoji23][emoji23]
sitaki tena kukuita hilo jina, najiskia vibaya
utani mwingine sio mzuri[emoji23]
kila mtu ana utofauti wake
Sijamtuma [emoji23]
Hebu nibet kwanza leo jmosi
😂THREADS 1,794,034Me mwenyewe hata njia ya kwendea uko siijui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitakuja sitokuangusha, nitakubebea pepsi bigi yabaridi tuje tujipe pole ya kufukuzwa jukwaani [emoji23]